Fid Q feat Mex Cortez & Lord Eyez - SIMBA (lyric Video)

SIMBA FID Q verse Mitaa inahoji kama niko real au niko feki Nawaambia kama nimedozi wajue ni deals tu hazieleweki Sio Siri, sio revola, sio chupi.. ninaisaka keki Na sio uzee wa kulala spana, kuamka jeki Bang kama Nako, Peter, Ritha au Imelda Golden state warriors, Sacramento Kings Chris Webber El largo camino hacia la libertad #pentimento - Idris Elba Life is full of twists & turns.. Le madrina Griselda Na asiyepotea huenda ni mtambo au kichwa Asiyekosea hajawahi jaribu jambo jipya Nina nguvu zaidi ya wazo ambalo muda wake umefika Hivyo usijitusu kwenye hizi hustle ikiwa sio mbabe wa hizi vita Nchi ya kitu kidogo.. nitaishi vipi ikiwa sina kitu!? Tajiri anazikusanya tu kila siku Maskini analia.. hajauona mchana hajauona usiku Asiyekujua hakuthamini hakuoni ishu Anayekujua hakuamini na hamna bifu You win some you lose some.. hivyo ndivyo huendaga Na sio kila ninachokilenga huwa nina nia ya kukipata Na mnachokula hakinishibishi.. mnajua So mnavyonipiga pini ili nisiwini mnazingua.. usivutiwe nikishika pesa na ukasahau vile nili-hustle nina machozi mengi yanayonilenga na hayajafika kwa macho Pesa haibadili mikono tu.. hubadili na watu pia sio wenye midomo tu, hata wale watu haujawahi sikia SIMBA 2nd verse: MEX CORTEZ Yeah I'm on that Presidential mood tena kirahisi(rais) mzee 255 to the World on my License plate Man these are the type of words that the wise exchange So why explain when they see me the prices change Leo season tumekutanishwa na nyota Kila feature wanafichwa kutosha Vichwa nachosha Unaweza kurithi kukosa au kicheshi ukaokotwa Last born first to Rise nani Mex na Ngosha I keep it a hundred ka niko na kazi mia Sijui nani ka azimia Naskia kazimia Kwa kuwa anazimia hizi kazi anaposkia Mi wa dunia Even flat earthers wananisifia(sphere) Room full of kangas yeah bado inanesa Yupo manzi ya kitanga alafu namuweza(muheza) Ghafla nilivaaga kiatu chenye dawa Kila napowakanyagia natia adabu kwa wazawa Muonekano sio wa kibantu Ila watu ndio wakawa wanagundua kibongo bongo huyu kijana ako sawa So kama haunifahamu usibonge usikanushe Nikijitoa ufahamu wala usiombe ninyanyuke Don't kill your own game ile kinyonge ukumbuke Ni sawa na pusha anayewaza ajinyonge alafu avute Never seen a Lion Lying Thats a Fire Sign I just brought back the old Ngosha from his prime time Now hold the torch for me Mex cause you rhyme tight I leave the game in safe hands not for lime light Aye aye captain catch a high five See the proper rappers are goners The corporates laughing you homeless Whats more than magic is falling They call me I bring open caskets Problematic more eradic look me in the eyes and panic Trying to hologram me while I hold a grammy upon it But non of that really important Walking all on the path of my moment Coming for blood like brother I'm home I been the hope of the continent Man I'ma just a die a relic Apply the pressure Revitalize the mic And let em define the credits Its lonely at the top I'm a Viking on psychedelics Verse 3: Lord Eyez Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Tanzaniia inahangaika kwa kukosa Taarifa Wanasiasa wanaongea tu kukosa Maanisha ila hii nchi ya Ahadi lazima tutafika Fanikisha ‘Insha’Tisha Maliiza Uzalendo ukaua UKAWA’SAWASAWA uchawa umekuwa rasmi saa waanzishe Mitaala Hala Hala jirani kwangu kunavuja ‘njoo kwangu SAWA Kusifia ndio imebaki midomoni mwao Haah’Bado tunahangaika na Zahanati ‘Madawati na VYOO Mtaani watu wanalala kimanati chumba kimoja na CHOO Kwa Hii NCHI ya AHADI jomba ni SOOO What are we missings?Mbona hatuwi fiti? Economical Strategy Mmhhff mmmhhhfff WIZII Magharibi wanatukimbiza mchakamchaka TIZI, Why are you scare Nigga?Go to CHURCH Weeee Terror🥷🏿 Nataka M-catch I’m a L.O.R.D ‘ wiiwiii-Niko na MCHOMVU tunaendesha JIJI’JiiJii WARAWARA akiwanywesha UJI’Hamuji mmmhhhhhh Emoji🔥 Sababu za kula nauli shorty akija HAKUJI and you know she’s freaky Like Bad & BOUJEE Pastor TONY na MAONO yaliyojaa MAUJUZI Nasisi NDOZETU Kuwakilisha Sio toka jana Au juzi