KAMATI YA ALAT MKOA WA KATAVI YARIDHISHWA NA UHAMISHAJI WA WANANCHI LUHAFWE

Kamati ya Chama cha Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) Mkoa wa Katavi imeridhishwa na utekelezaji wa zoezi la uhamishaji wa wananchi 648 kutoka eneo la uwekezaji la Western Luhafwe kwenda Mji Mpya wa Igalukilo, Wilayani Tanganyika, kufuatia maamuzi ya Serikali ya kupisha shughuli za uwekezaji. Ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Hamad Hassan Mapengo, Kamati imekagua maendeleo ya maandalizi ya makazi na miundombinu ikiwemo barabara, upimaji wa viwanja, pamoja na huduma za afya na elimu, na kuipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa hatua kubwa iliyofikiwa. Mhe. Mapengo amesema Kamati imeridhishwa na kasi ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali na kuwataka wananchi ambao bado hawajahama kutekeleza zoezi hilo kwa wakati ili kupisha uwekezaji unaotarajiwa kufanyika katika eneo hilo. Kwa upande wake, Halmashauri imeeleza kuwa kila kaya itapatiwa kiwanja cha makazi, ekari sita za ardhi kwa shughuli za kilimo pamoja na hati miliki, huku wananchi waliohamia wakieleza kuridhishwa na maandalizi yaliyofanywa na Serikali. Katika ziara hiyo, Kamati pia ilikagua ujenzi wa Shule ya Awali ya Mchepuo wa Kiingereza (English Medium) na kusisitiza ukamilishwe kwa wakati ili kuanza kutoa huduma bora za elimu kwa wananchi wa Wilaya ya Tanganyika.

DC BUSWELU ATEMBELEA KAYA 36 WAHANGA WA MAFURIKO IKOLA, ATOA MSAADA NA MAELEKEZO MAZITO
▶︎

DC BUSWELU ATEMBELEA KAYA 36 WAHANGA WA MAFURIKO IKOLA, ATOA MSAADA NA MAELEKEZO MAZITO

KAMATI YA ALAT MKOA WA KATAVI YARIDHISHWA NA UHAMISHAJI WA WANANCHI LUHAFWE
▶︎

KAMATI YA ALAT MKOA WA KATAVI YARIDHISHWA NA UHAMISHAJI WA WANANCHI LUHAFWE

MAKONGORO NYERERE
▶︎

MAKONGORO NYERERE

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA
▶︎

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.
▶︎

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.

UWEKEZAJI BANDARI YA DAR ES SALAAM
▶︎

UWEKEZAJI BANDARI YA DAR ES SALAAM

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza
▶︎

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

RC MRINDOKO AYATAJA MAENEO YA UWEKEZAJI YALIYOPO KATAVI| WILAYA YA TANGANYIKA YAONGOZA.
▶︎

RC MRINDOKO AYATAJA MAENEO YA UWEKEZAJI YALIYOPO KATAVI| WILAYA YA TANGANYIKA YAONGOZA.

IGALUKILO KUWA KITOVU CHA MAENDELEO KUPITIA MPANGO WA UPANGAJI ARDHI & MAKAZI KUHAMA KUTOKA WESTERN
▶︎

IGALUKILO KUWA KITOVU CHA MAENDELEO KUPITIA MPANGO WA UPANGAJI ARDHI & MAKAZI KUHAMA KUTOKA WESTERN

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

"Sikutarajia Hii!" TAZAMA Alichokisema Waziri Mkuu Juu ya Tajiri wa Katoro!
▶︎

"Sikutarajia Hii!" TAZAMA Alichokisema Waziri Mkuu Juu ya Tajiri wa Katoro!

HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.
▶︎

HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Decolonise Your Plate | A Walk Through Dr. Wanjiru’s Garden
▶︎

Decolonise Your Plate | A Walk Through Dr. Wanjiru’s Garden

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.
▶︎

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI
▶︎

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI

“NATOA MASAA 72 WALIOFANYA UZEMBE KITUO CHA AFYA KAREMA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU” DC BUSWELU
▶︎

“NATOA MASAA 72 WALIOFANYA UZEMBE KITUO CHA AFYA KAREMA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU” DC BUSWELU

VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA YA NYAMA WASIMAMISHWA NA RC KATAVI.
▶︎

VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA YA NYAMA WASIMAMISHWA NA RC KATAVI.

GPS: Marekani yaenda mbali vita na IRAN, yalipua madaraja, vifo vyaongezeka, Tehran yajibu mapigo
▶︎

GPS: Marekani yaenda mbali vita na IRAN, yalipua madaraja, vifo vyaongezeka, Tehran yajibu mapigo

Ansbert Ngurumo ataadharisha - Maamuzi ya Jumuiya ya Madola kuhusu Kesi ya Lissu
▶︎

Ansbert Ngurumo ataadharisha - Maamuzi ya Jumuiya ya Madola kuhusu Kesi ya Lissu