CHEMBE YA NGANO - ST. MATTHIAS MULUMBA - TINDINYO SEMINARY CHOIR

Maneno ya wimbo huu yaliyotungwa na Padre Francis Keboi ni Kauli Mbiu na pia kitambulisho cha Seminari yetu inayosimamiwa na Mt. Matia Mulumba. Ni wimbo kwa heshima ya somo wetu na Mashahidi wote wa Uganda. Changamoto za maisha ni za kila siku, yajapo, tusife moyo tumwamini Mungu.