UPENDO WA MILELE (Wedding song) || Umoja II Young Adults Choir || Aggie Weds David

#u2yac #valentinesday #wedding #weddingvideo #weddinginspiration #love #truelove Thanks to ‪@A_FrickernMediaGroup‬ In a world where love has turned conditional, fleeting and contractual, Umoja II YAC present a song rooting for the love that has no end, the love that stays true, upendo wa milele! We pray that the song blesses your seasons and stations of love. And may it always bring happy thoughts to you. Special credits to; The Almighty God, for His love! Nature's Crest Farm, Oloitoktok for the lovely evening venue and hospitality. See more about them on: https://www.naturescrest.farm/ David and Agnes, for allowing us to share the song in their joyous wedding. Lyrics. UPENDO WA MILELE 1. Bwana Amewafunika, na pendo Lake, ni siku ya furaha, Amewaunganisha, kwa baraka Zake, hakuna kutengana, Tumeitwa kushuhudia na kuwaombea leo, (Ishini kwa imani, ishini kwa amani, kwenye ndoa yenu×2) Chorus Upendo wa milele, umewaunganisha pamoja, Hakuna kutengana, katika majaribu shikamaneni, Yesu ndiye Bwana, atawalinda, atawatunza, Yesu ndiye Mwamba atawalinda, 'tawatunza daima 2. MALE: Je, mapenzi hubaki, au unaisha, muda unapozidi kusonga, FEMALE: Je, tutashikamana, dhoruba ikija, inapotusukasuka kwa sana, CHOIR: Je mtaendelea kupendana kama siku za kwanza, Ni, kwa neema Yake, ndoa yenu itazidi kusimama.. Chorus Upendo wa milele, umewaunganisha pamoja, Hakuna kutengana, katika majaribu shikamaneni, Yesu ndiye Bwana, atawalinda, atawatunza, Yesu ndiye Mwamba atawalinda, 'tawatunza daima