Barbara Afunguka Watangazaji Kuondoka Clouds "Ofa ZInakuja, Hawaniwezi" | SALAMA NA BARBARA PT 2

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 MORNING GLORY Barbara Hassan’s voice is ICONIC, imebidi nianze kwa kuandika kizungu ili ikae pale ninapotaka mimi, si unakumbuka walikua wakisema kwa kuonyesha msisitizo mmoja inabidi aongee Kingereza na hilo ndo nlilojaribu kufanya hapo. Amekua consistent kwa miaka zaidi ya kumi, mida yake ya kuamka ni ile ile na ya kulala pengine hubadilika kutokana tu na mood yake. Ukiachana na sauti tamu ambayo itakufanya usione hatari kama umeamka alfajiri, Bi Barbara pia ana lafdhi tamu ya ki pwani, maneno yanatamkwa yapasavyo kabisa kitu ambacho huwezi kukiwekea dhamana kwa watangazaji wa skuizi ambao asilimia kubwa si waongeaji wa Kiswahili fasaha na matamshi pia hawayawezi. Wengi wana shida za R na L na hawaana habari! Kabila lake ni Mchaga na mimi ni moja kati ya watu ambao tulikua tunadhani Barbara si Mtanzania, ila alikulia zake Kenya huko na huko ndo accent yake nzuri inayomfanya yeye awe yeye ilikotokea. Aliniambia kwenye kipindi kwamba miaka ya hivi karibuni amakua akiskia watu wengine wakiongea kama yeye kwenye vyombo vya habari na akasema pia si kama inamchukiza ila anataka tu watu wawe WAO na si kuinga mtu mwengine maana huyu tayari yupo. Barbara amekua kwenye POWER BREAKFAST kwa miaka mingi, na kwa mujibu wake wengi wamekuja wakaenda na wakarudi na yeye amekua pale pale kama JABALI, hakutetereka kwenye kipindi ambacho watangazaji wengi mahodari walikua wanahama Radio moja kwenda nyengine kwa dau KUBWA la ada ya uhamisho na mishahara mara dufu ya waliyokua wanalipwa ila yeye alisimama imara ingawa offer zilikua zinakuja mezani, moja kwa moja kwake na nyengine kwa kutumia watu wake wa karibu. Humu Bi Barbara anatuhadithia jinsi alivyoenda kuomba kazi kwa mara ya kwanza, yeye hakua na mtu wa kumshika mkono au wa kumumbia fanya hili na lile, anasema akiwa mbichi kabisa baada ya kumaliza shule alienda zake pale Clouds FM enzi hizo Radio iko jengo la Kitega Uchumi na kumuomba mlinzi kwamba anataka kuonana na Bosi, mlinzi nae hakua na hiyana maana Boss alikuwepo ila alimuuliza tu kama ana miadi na yeye wala hakumdanganya, alikuambia miadi hana ila ilikua MUHIMU kwa yeye kuonana nae. Na nafasi ya kuonana na Boss Ruge ikapatikana. Barbara anakumbuka maongezi yao kama ilikua jana, na kwake yeye Marehemu Ruge Mutahaba ni kama Robin Hood kwa jinsi alivyokua akiyaishi maisha yake. Nisingependa nikueleze meeengi ambayo mimi na Rafiki yangu huyu tuliyaongea ila kwa faida yako ningependa sana uskilize maswali na majibu yake kwa urefu ili twende sawa. Oh pia nilikua sijamuona binti yake Ashley toka kazaliwa lakini nilipata bahati ya kukutana naye alipokuja kwenye set ya maongezi haya. Yangu matumaini kama kawaida utaokota mawili matatu ambayo yatakusaidia kwenye maisha yako. Tafadhali enjoy and Happy Holidays. Love, Salama. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Barbara Asimulia A-Z Jinsi Alivyopata Kazi Clouds | SALAMA NA BARBARA PART 1
▶︎

Barbara Asimulia A-Z Jinsi Alivyopata Kazi Clouds | SALAMA NA BARBARA PART 1

Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1
▶︎

Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1

Huyu ndiyo Babra Hassan wa Power Breakfast | Safari yake ya Utangazaji ilivyoanza | Malkia wa nguvu.
▶︎

Huyu ndiyo Babra Hassan wa Power Breakfast | Safari yake ya Utangazaji ilivyoanza | Malkia wa nguvu.

Mtangazaji maarufu nchini BARBARA HASSAN aingizwa mjini na Dalali, asimulia mwanzo- mwisho.
▶︎

Mtangazaji maarufu nchini BARBARA HASSAN aingizwa mjini na Dalali, asimulia mwanzo- mwisho.

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food
▶︎

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

NAPE AKERWA NA DADA ALIYESEMA ANALALA NA NYOKA ILI APATE HELA “ SITAMVUMILIA”
▶︎

NAPE AKERWA NA DADA ALIYESEMA ANALALA NA NYOKA ILI APATE HELA “ SITAMVUMILIA”

MwanaFA: Jinsi Muziki ulivyomjenga/ Pressure Ya Umaarufu, Uongozi na Familia
▶︎

MwanaFA: Jinsi Muziki ulivyomjenga/ Pressure Ya Umaarufu, Uongozi na Familia

ቴዲ አፍሮ ለኔ ላይብረሪ ነው! ኤልያስ መልካ ነው የመጀመሪያውን ጊታር የሰጠኝ! እውነተኛ ፍቅር አንዴ ያዘኝ እሷንም አገባሁ #amleset #podcast
▶︎

ቴዲ አፍሮ ለኔ ላይብረሪ ነው! ኤልያስ መልካ ነው የመጀመሪያውን ጊታር የሰጠኝ! እውነተኛ ፍቅር አንዴ ያዘኝ እሷንም አገባሁ #amleset #podcast

Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1
▶︎

Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

LIVE:  MBWIGA AKIMTONGOZA BABIE KABAE VALENTINE SPECIAL
▶︎

LIVE: MBWIGA AKIMTONGOZA BABIE KABAE VALENTINE SPECIAL

Jacky Matubia: I Never Wanted My 2nd Marriage || Lessons At 30 With Dr.Ofweneke
▶︎

Jacky Matubia: I Never Wanted My 2nd Marriage || Lessons At 30 With Dr.Ofweneke

AUZA KILA KITU APATE MILIONI 30 YA NAULI YA KWENDA DUBAI, ALIUZA MAJI YA KANDORO, ASIMULIA KILA KITU
▶︎

AUZA KILA KITU APATE MILIONI 30 YA NAULI YA KWENDA DUBAI, ALIUZA MAJI YA KANDORO, ASIMULIA KILA KITU

Salama Na Masoud Kipanya
▶︎

Salama Na Masoud Kipanya

Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1
▶︎

Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1

Mashunda amejaa upepo | KOMBOLELA SE02 EP 234 | SINEMA ZETU HD
▶︎

Mashunda amejaa upepo | KOMBOLELA SE02 EP 234 | SINEMA ZETU HD

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas
▶︎

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas

Trump Gets Booed & Falls Asleep During NBA Finals, Claims War is Almost Over & Goodbye Spencer Pratt
▶︎

Trump Gets Booed & Falls Asleep During NBA Finals, Claims War is Almost Over & Goodbye Spencer Pratt

I Was Served Heartbreaks - Njoki Munyi and Jacque Gachiri (Woman Without Limits)
▶︎

I Was Served Heartbreaks - Njoki Munyi and Jacque Gachiri (Woman Without Limits)

Salama Na JERRY SILAA SE6 EP22 FULL SHOW|KUKIWA JUA ,KUKIWA MVUAPART |SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na JERRY SILAA SE6 EP22 FULL SHOW|KUKIWA JUA ,KUKIWA MVUAPART |SendTip MPESA LIPA NO 5578460