Waziri mkuu achafukwa mauaji ya mtoto mwenye Ualbino, atoa maagizo mazito
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa vyombo vya usalama, viongozi wa Serikali, dini, waganga wa kienyeji, wazazi, walezi na Watanzania ikiwa ni hatua ya kukomesha vitendo vya mauaji na ukatili kwa watu wenye ualbino. Hatua hiyo inafuatia mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath (2) ambaye Mei 31 mwaka 2024, aliporwa nyumbani kwao Kitongoji cha Mbale, Kijiji cha Mulamula, Kata na Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera na mwili wake kupatikana ukiwa umehifadhiwa katika vifungashio vya plastiki. Majaliwa ameyasema hayo leo Juni 20, 2024 wakati akitoa taarifa bungeni jijini Dodoma kuhusu kupinga ukatili dhidi ya watu wenye ualbino, likiwemo tukio la mtoto Asimwe Novath mwenye umri wa miaka miwili na nusu aliyetekwa Mei 31, 2024 mkoani Kagera ambapo mwili wake ulipatikana Juni 17.

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

PEREZIDA KAGAME 'IGIHUGU NTABWO CYABA INGWATE KU BANTU BASHAKA KUGIRA NGO AMATEKA ABE UKO BAYASHAKA'

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWATUMBUA 11 DODOMA - YUMO ALIYEKUWA MKURUGENZI wa JIJI - "TUTAPATA SHIDA"...

République Démocratique du Congo c. Ouzbékistan à la Coupe du Monde de la FIFA 2026 ™ en 30 minutes!

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

My B#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 roadcast

My ex husband is after my house, 15 years after our divorce | Tuko TV

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA HAMSINI NA NANE TAREHE 26 JUNI, 2026

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

OKUGGYAKO AKULIRA OLUDDA OLUWABULA : Bannamateeka baliko bye bawabudde abakitembeeta

WAZIRI MKUU APANDWA HASIRA, ASHIKA KICHWA, kwa UKALI ASEMA - "ANATAKA KUTUANGUSHA"...

KUMEKUCHA: MBUNGE MUSUKUMA AMCHANA WAZIRI MWIGULU, MKUMBO “Msifanye BAJETI ya Copy na Paste,"

''NILIPATA 'A' 5 - MFUATILIE na MATOKEO ya CHALAMILA'' - NAPE AMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA...

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

AHMED ALLY AWAKALIA KOONI YANGA/"WAMEPATA MAUMIVU MAKUBWA SIMBA KUMFUNGA SINGIDA BS

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA SABA JUNI 25, 2026

WAZIRI MKUU MAJALIWA ALIVYOSHIRIKI MAZIKO ya MAMA wa JAJI MKUU PROFESA IBRAHIM JUMA MARA...

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

