Vioja Mahakamani: Makokha anaiba chuma za barabara kisha anauzia Ondiek

Iwapo wewe huiba chuma za barabara na kuuzia watu wa 'scarp metal', jitahadhari. Maafisa wa polisi pamoja na wale wa KeNHA wako macho na ukipatikana utafikishwa hapa VIOJA MAHAKAMANI. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/3mhaLOh Follow us on Twitter:   / kbcchannel1​   Find us on Facebook:   / kbcchannel1tv   Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #ViojaMahakamani #KeNHA