WAZIRI LUKUVI HATAKI MCHEZO, AFUTA HATI MBILI ZA VIGOGO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amefuta hati mbili za viwanja namba 153 na 154 Mkoani Mwanza vilivyokua vikimilikiwa na Abdulkareem Baga na Abdallah Mukhusin Malik ikielezwa kwamba havijalipiwa kodi ya ardhi kwa miaka 15 tangu wapatiwe umiliki. "Kila Mtu tunaemmilikisha hati Nchi hii sharti la kwanza la kuzingatia ni ulipaji wa kodi ya pango la ardhi kwa wakati, Huyu Malik ukiacha kwamba haonekani kwa sura hatumfahamu, hajalipa kodi kwa miaka 15 na bado hati ipo kwenye Masjala ya hati za Wizara ya Ardhi”

▶︎
MSIBA: MAJONZI NA SIMANZI KUFARIKI MZEE ONYANGO, MTOTO WAKE NA RAFIKI YAKE WAZUNGUMZA

▶︎
LUKUVI Amrejeshea Kiwanja BRIGEDIA MSTAAFU Alichodhulumiwa Kwa Miaka 20

▶︎
WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

▶︎
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI

▶︎
SIRI ZA KUTISHA ZA SAMAKI HATARI DUNIANI, SUMU YAKE NI KIFO, UNAKUA KIPOFU, HUFANYI MAPENZI MIEZI

▶︎
WAZIRI LUKUVI ALIVYOMRUDISHIA KIWANJA JENERALI WA JESHI ALIYEDHULUMIWA

▶︎
NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

▶︎
Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

▶︎
Ahmed Shabiby: Ukiona Mbunge Ana V8 Hela Kajiongezea I Hela Wanazopata Wabunge za Kununulia Crown

▶︎
Lukuvi- Nataka hii nyumba irudi serikalini

▶︎
🔴#BREAKING: TUKIO KUBWA IKULU - RAIS SAMIA AMUAPISHA LUKUVI - KABUDI na WENGINE ALIOWATEUA - DAR

▶︎
HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

▶︎
Can Trump bomb his way to an Iran peace deal?

▶︎
KIBARUO ARUSHA ANUSURIKA KUUAWA ADAIWA KUMBAKA MWANAMKE SHAMBANI, CHIPSI, SAMAKI, KITENGE VYAKUTWA

▶︎
Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu

▶︎
Je, ni hati ya nyumba au kiwanja? Hati inadumu miaka mingapi? Fahamu kuhusu viwanja vya kushare?

▶︎
BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

▶︎
ADAIWA KUMUUA KAKA YAKE KWA KUMCHOMA KISU KISA KUKOSA UMEME NYUMBANI

▶︎
"WAMEPANGA KUWASHA MOTO HADI NIJIUZULU, LABDA SERIKALI YA SAMAKI SIO SERIKALI HII" - RAIS SAMIA

▶︎
