Sheria Yako Bwana | Wimbo wa Katikati | Dominika 17 A
Wimbo wa katikati Dominika ya 17 mwaka A Jumapili ya tarehe 26/7/2020 Zaburi: 119 Mtunzi: E. Ndumbaro Waimbaji ni baadhi ya wanakwaya wa St Paul's Students Choir, Chuo Kikuu cha Nairobi Karibu kutazama wimbo wa katikati kila wiki pamoja na nyimbo nyingine za kwaya katoliki Kenya na Tanzania katika channel hii Please like, share and subscribe lest you miss out our next uploads. MANENO YA WIMBO Sheria yako Bwana, naipenda, naipenda ajabu sharia yako. Mashairi 1. Bwana ndiye aliye fungu langu, nimesema kwamba nitayatii nitayatii maneno yako 2. Sheria ya kinywa ya kinywa chako, ni njema kwangu kuliko maelfu maelfu ya dhahabu na fedha 3. Nakuomba fadhili zako zote, ziwe faraja kwangu sawasawa na ahadi ya mtumishi wako

▶︎
TEGEMEO LANGU NI YESU - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja

▶︎
Twende Nyumbani Mwa Bwana

▶︎
Ingekuwa Heri J. Mgandu | Wimbo wa Katikati | Dominika 23 A

▶︎
Shamba La Mzabibu | Wimbo wa Katikati Dom ya 27 mwaka A | Ernestus Ogeda

▶︎
UMWENE WAZIPA | MTUNZI:ELIUD PENDAKAZI{OFFICIAL VIDEO}KWAYA YA MT.DENIS KAMSAMBA PAROKIA YA LAELA

▶︎
SHERIA YAKO - St. Bernadette Kisii Cathedral

▶︎
Niruhusu Yesu Wangu || E. F. Kidaluso || Evans Kibet Family & Friends

▶︎
EKARISTIA NI CHAKULA (OFFICIAL VIDEO)

▶︎
NCHI IMEJAA FADHILI ZA BWANA ( Official Video HD)

▶︎
TAZAMA UHODARI WA DESPINA AKIIMBA WIMBO WA KATIKATI DOMINIKA YA 6 PAROKIA YA KISASA.

▶︎
Taabu Ya Mikono Yako | Wimbo wa Katikati | R. Makoko

▶︎
WIMBO WANGU

▶︎
Bwana Amejaa Huruma | D. Kacholi | Wimbo wa Katikati | Dominika ya 24 mwaka A

▶︎
UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

▶︎
Ahadi zamungu zinasimama imara

▶︎
NIBARIKI - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja

▶︎
SHERIA YAKO NAIPENDA - Kwaya ya Mt. Augustino UDSM || J. MGANDU (Official Video )- Full HD

▶︎
SHERIA YAKO|| ERNESTUS OGEDA|| UKWAKATA SOCIAL & HUMANITY -UDOM

▶︎
MRINDIMO WA SHANGWE | Paul Msoka | (Official Video)

▶︎
