Maarifa Gospel Ministry _SAFARI YA IMANI

SAFARI YA IMANI ni wimbo wa injili unaoelezea mwito wa mbinguni kwa watu wa Mungu. Ni safari ya wale walioteuliwa, wanaotembea kwa imani bila kukata tamaa, wakimtazama Yesu Kristo kama nuru na mwanga wa njia yao. Wimbo huu unatukumbusha kuwa hata katika changamoto za maisha, tunaendelea kutembea kwa tumaini la milele, kwa sababu Yesu ndiye mwanga wetu na kiongozi wa safari yetu ya wokovu. Bwana ni nuru yangu, sitatembea gizani, Kwa imani nasonga mbele, nikitumaini milele. (Yohana 8:12, Waebrania 11:1 – kwa maana) 𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧: song writer : Ben_pro Composed by : Ben_pro , Jonathan semeko & Fidel bahufite Audio Mixing and mastering :Ben_pro Assistants : Agano johnson :Fidel Bahufite vidéo Director :Dir_Yoress Production : Maarifa studioz🇨🇩