SERENGETI MPYA;UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA UPO MBIONI KUMALIZIKA

#serengetitv tumekusudia kukuhabarisha na kukuburudisha## Mheshimiwa diwani kata ya uwanja wa ndege akizungumza na Serengetitv ameeleza wazi kuwa serikali iko vizuri na inaendelea kupumbana kukuza maendeleo katika taifa letu la Tanzania 🇹🇿. Aidha amesema kuwa wanainchi wawe na subira kidogo kwani mda sio mrefu uwanja wa ndege wa kimataifa uliopo maeneo ya Burunga unakamilika kutengenezwa na kuanza kutumika rasmi kwani uongozi umeweka mkakati sahihi juu ya uwanja huo. Lakini pia amepongeza serikali ya juu kwa juhudi zao kwa namna wanavyo hakikisha kuwa hudumu za jamii zinaboreshwa vijijini. endelea kufuatilia serengetitv ili kujua mengi hii ni ya kitofauti ##tumekusudia kukuhabarisha na kukuburudisha##