MAHOJIANO NA BISHOP NYISAKE CHAULA , AELEZA JEHANAMU NA MBINGUNI KULIVYO . SEHEMU YA 2

Hii ni Sehemu ya Pili Ya Interview maalumu na Mtumishi wa Mungu Bishop NYISAKE CHAULA wa makanisa ya Shalom Gospel and Deliverance , Fatilia mwazo mpaka mwisho uweze kujua namna alivyo chukuliwa katika maono mpaka jehanamu na Kisha mbinguni . ili kupata mwendelezo wa Mahojiano haya Hakikisha Una Subscribe Channel Hii . kwa maoni na Ushauri ni 0713864447 .