Watoto wa Deo Filikunjombe Wanena Mazito Miaka Miwili Baada ya Kifo cha Baba Yao
Subscribe / uwazi1 IKIWA imetimia miaka miwili tangu kufariki kwa aliyekuwa Filikunjombe, mkewe Bi. Sarah Filikunjombe amefunguka mazito ikiwa ni pamoja na namna ambavyo ameendelea kuumizwa na kifo cha mumewe lakini pia mikikimikiki ya kupambana na maisha ili kuilea familia na watoto kuendelea kupata elimu bora. Katika misa ya maadhimisho hayo jana nyumbani kwake, Mbagala-Kijichi jijini Dar, Sarah alisema akiwa kama mama anahakikisha maisha ya watoto wake yanastawi na kwamba kuna wakati maneno ya atoto hao, ambao ni Lee, Levis na Larry humuumiza pale wanaposema namna wanavyomkosa baba yao katika maisha. Aidha, kwa upande ndugu na jamaa wakiwemo aliokuwa marafiki wa marehemu Deo amewashukuru kwa namna ambavyo wamekuwa wakijitoa kumpa faraja na michango ya mawazo mbalimbali kuhusu maisha ingawa kuna baadhi wamejitenga na familia yake tofauti na alivyokuwa akitarajia. “Maisha yameendelea lakini kwa kweli kifo cha mume wangu hakisahauliki maishani mwangu, napambana kuhakikisha mahitajin ya wanangu ikiwemo kupatab elimu bora yanatimia tena kwa wakati, lakini kuna wakati kama familia tunamkumbuka sana Deo, lakini pia kuna wakati maneno ya wanangu mfano kama huyu Lee kwamba wanamkumbuka baba yao hakika huwa yananiumiza sana. “Nawashukuru sana ndugu, jamaa na marafiki ambao wameendelea kuwa karibu na mimi kwa faraja na michango ya kimawazo, ingawa kuna baadhi ambao wamejitenga kabisa tofauti na ambavyo nilikuwa nawaza, lakini silauu maana maisha yamekuwa magumu na kila mtu anakimbizana na mchakamchaka wa maisha, namuombea tu mume wangu Deo, Mungu yu mwema,” alisema Sarah. FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

SAVED BY THE MAID - 2026 latest Nigerian movies - Ray Adeka - Gift Anizoba , Princess Orji

Miaka 2 Baada ya Kifo cha Deo Filikunjombe, Haya Ndiyo Maisha ya Mjane Wake

Duong Family Harvesting Giant Stream Fish to Make Rich-Flavored Smoked Salted Fish | Village Life

11-06-26 Sukhmani Sahib Full Path | ਸੁਖਮਨੀ ਸਾਹਿਬ ਪਾਠ | Sukhmani Sahib Da Path | Fast Sukhmani

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

Peaceful Birds Singing with Soft Rain 🍃 Nature Ambience for Deep Sleep & Relaxation

Fall asleep while I build a zoo

MKE WA DEO FILIKUNJOMBE: Miaka Miwili Tangu Kufariki Kwa Mumewe

HEBU NIELEZE KWA SAUTI YA UPOLE| Nyimbo Za Kumsifu, Bwana Yesu, Yahwe, Nifinyange #swahilipraise

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School
![BONGO OLD SCHOOL MIX 2026 [FWG25] DJ SPINE FT DIAMOND, ALIKIBA, MARLAW, MATONYA, HUSSEIN MACHOZI.](https://i.ytimg.com/vi/PXgnuatCGOA/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLDoxLWkTW3kUXBvq2eZ3XxDfb9mLw)
BONGO OLD SCHOOL MIX 2026 [FWG25] DJ SPINE FT DIAMOND, ALIKIBA, MARLAW, MATONYA, HUSSEIN MACHOZI.

PAPA SAVA EP1448:UYU MUYAYA DISI!!!BY NIYITEGEKA Gratien( Rwandan Comedy)

Mke Deo Filikunjombe, Waziri, Mambo Hadharani!
![Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass](https://i.ytimg.com/vi/2l9eQV4hPGc/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLADJsmyMp-Wc5cF6xpo5LTN8eOXpA)
Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass

HOLY ROSARY TODAY THURSDAY, JUNE 11, 2026 ST. JUDE THADDEUS & LUMINOUS MYSTERIES | DAILY HOLY ROSARY

Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Ludewa umezikwa katika makaburi ya ludewa mjini.

#EXCLUSIVE: MTOTO wa FILIKUNJOMBE AFUNGUKA MANENO ya MWISHO ALIYOAMBIWA na BABA YAKE, MUZIKI WAKE...

