CHANZO CHA ROHO YA UZINZI NDANI YA MTU // ACHA TABIA HIZI
Wagalatia 5:16-26 Basi, nasema hivi: Mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia. Maana, tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya roho; na matakwa ya Roho hupingana na tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamwezi kufanya yale mnayotaka nyinyi wenyewe. Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya sheria. Basi, matendo ya kidunia yanajulikana: Uzinzi, uasherati, ufisadi; kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano; husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo. Nawaambieni tena kama nilivyokwisha sema: Watu wanaotenda mambo hayo hawataupata ufalme wa Mungu uwe wao. Lakini matokeo ya kuongozwa na Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi. Hakuna sheria inayoweza kupinga mambo hayo. Wale walio na Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake. Basi, tusijivune, tusichokozane wala kuoneana wivu. Maarifa ya Ki-Mungu @SIRI ZA BIBLIA www.sirizabiblia.com +255 758 708 804 https://linktr.ee/sirizabiblia Instagram Account / siri_za_biblia SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI: M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

MADHARA YA UZINZI NA UASHERATI - Innocent Morris

SIRI ZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - Pastor Sunbella Kyando

Mh!😳 "MTU AKIZINI MARA MOJA TU HII KITU INAMPATA 🙌🏾 NA KUFUTIKA SIO RAHISI" | +SHUHUDA ZA KUTISHA🔥💔

NAFASI YA VAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

SIRI ZILIZOPO WAKATI WA USIKU - NGUVU ZA GIZA

JE, UZINZI NI DHAMBI NA DR MWALUSAMBO #kingdomphilosophy #biblestudy

DHAMBI YA UZINZI INA ANGAMIZA FAMILIA-MWL GOODLUCK MUSHI.

NAMNA UZINZI UNAVYOWEZA KUKUFANYA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO - Past. Daniel Mgogo | Madhara ya Dhambi
![KUTEMBEA KATIKA ROHO YA HEKIMA.[PART 1]](https://i.ytimg.com/vi/J87OIM-_UbA/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEnCNACELwBSFryq4qpAxkIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAG4AvcY&rs=AOn4CLC3gZNqQIQhgKh1cgLURMklIUyfIQ&usqp=CCc)
KUTEMBEA KATIKA ROHO YA HEKIMA.[PART 1]

JIFUNZE KUOMBEA NDOTO UNAZOZIOTA KILA SIKU // DAY 7

MAVAZI YAKO NDIO UTAMBULISHO WAKO - BISHOP SUNBELLA KYANDO

NGUVU YA KUSHINDA DHAMBI

KUFUNGULIWA NA KUTOLEWA KATIKA VIFUNGO NA MADHABAHU

Jinsi ya kuishinda roho ya Uzinzi na Uasherati - (Na. Askofu Dr. Fredrick Simon)

UKIWA NA SIFA HIZI 4 UNANYOTA KALI SANAA...USIPUZEE!

TOFAUTI YA UZINZI NA UASHERATI NA DR.MWALUSAMBO #kingdomphilosophy #biblestudy #injili

MAOMBI YA KUJIUNGANISHA NA NYOTA YA IBRAHIMU ILI UFANIKIWE KATIKA MAMBO YAKO.

MAOMBI YA VITA YA MKOMBOZI WA FAMILIA // MBINU ZA KUPAMBANA

JIFUNZE KUITUMIA IMANI YAKO, UNAYO TATIZO HAUJUI MATUMIZI

