DUKA LA DAWA AGEUZA KUWA HOSPITALI KALIUA,AKAMATWA NA KIPIMO CHA UKIMWI NA VIFAA TIBA MBALIMBALI.

#CgOnlineTv #TMDA Mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA kanda ya magharibi imekamata dawa na vifaa tiba venye thamani ya zaidi ya shilingi millioni 4 katika kijiji cha Kanindo tarafa ya Ulyankulu wilayani Kaliua mkoani Tabora . Kaimu meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA kanda ya magharibi Christopher Migoha amesema dawa na vifaa tiba hivyo vilivyo kamatwa vilikutwa katika duka la dawa la Maliza na yesu linalomilikiwa na mfanyabiashara Zakayo Bagomwa ambapo hatua ya ukaguzi ilifuata baada ya kupenyezewa taarifa ya siri kwa njia ya barua kutoka na wananchi . Aidha vifaa tiba vilivyokutwa katika duka hilo la dawa ni pamoja , vipimo vya virusi vya ukimwi . Mbali na mfanyabiashara huyo kukamatwa na dawa na vifaa tiba hivyo pia amekuwa akiendesha biashara ya kuuza dawa pasipo kuwa na kibali cha kisheria .

Kama unamiliki pharmacy au duka la dawa hii ni muhimu sana kuzingatia.
▶︎

Kama unamiliki pharmacy au duka la dawa hii ni muhimu sana kuzingatia.

KUFUNGUA PHARMACY WATAALAMU WA DAWA WANAOTAKIWA NA WAFANYAKAZI WENGINE
▶︎

KUFUNGUA PHARMACY WATAALAMU WA DAWA WANAOTAKIWA NA WAFANYAKAZI WENGINE

WAKILI AFAFANUA KUHUSU MAKOSA YA UHAINI | AFUNGUKA WALIOKAMATWA NA MAKOSA HAYO "Adhabu yake ni kifo"
▶︎

WAKILI AFAFANUA KUHUSU MAKOSA YA UHAINI | AFUNGUKA WALIOKAMATWA NA MAKOSA HAYO "Adhabu yake ni kifo"

DC KATAMBI AFANYA MSAKO KWA WANAOPANDISHA BEI ZA SANITIZER KWENYE MADUKA YA DAWA
▶︎

DC KATAMBI AFANYA MSAKO KWA WANAOPANDISHA BEI ZA SANITIZER KWENYE MADUKA YA DAWA

UKUBWA WA JENGO LA DUKA LA DAWA MUHIMU DLDM ACCREDITED DRUG DISPENSING OUTLETS ADDO #dawa #drug
▶︎

UKUBWA WA JENGO LA DUKA LA DAWA MUHIMU DLDM ACCREDITED DRUG DISPENSING OUTLETS ADDO #dawa #drug

The Brutal EXECUTION of Benito Mussolini Is HARD to Stomach!
▶︎

The Brutal EXECUTION of Benito Mussolini Is HARD to Stomach!

SAKATA LA MADUKA YA DAWA MUHIMU DLDM/ADDO
▶︎

SAKATA LA MADUKA YA DAWA MUHIMU DLDM/ADDO

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

Fahamu Jinsi ya Kuepuka Makosa 11 Unapoanzisha Biashara ya Dawa!
▶︎

Fahamu Jinsi ya Kuepuka Makosa 11 Unapoanzisha Biashara ya Dawa!

Je Kipimo Cha Mimba Mstari Moja Kufifia Ni Mjamzito kweli au Lah? (Mstari Miwili Moja Kufifia)!!?
▶︎

Je Kipimo Cha Mimba Mstari Moja Kufifia Ni Mjamzito kweli au Lah? (Mstari Miwili Moja Kufifia)!!?

KUFUNGUA DUKA LA DAWA ENEO ZURI_BEST LOCATION FOR PHARMACY BUSINESS IN TANZANIA
▶︎

KUFUNGUA DUKA LA DAWA ENEO ZURI_BEST LOCATION FOR PHARMACY BUSINESS IN TANZANIA

SIO WANAWAKE TU HATA SISI TUNATAKIWA KUFANYA (Charm & glow facial)
▶︎

SIO WANAWAKE TU HATA SISI TUNATAKIWA KUFANYA (Charm & glow facial)

WAMILIKI WA MADUKA YA DAWA WAIANGUKIA SERIKALI, ISHU YA KUFUNGIWA...
▶︎

WAMILIKI WA MADUKA YA DAWA WAIANGUKIA SERIKALI, ISHU YA KUFUNGIWA...

Dr SULE KIKAANGONI KAMA UNAMILIKI MAJINI MBONA BODYGUARD WAKO SIO MAJINI ? Ust SHAFI
▶︎

Dr SULE KIKAANGONI KAMA UNAMILIKI MAJINI MBONA BODYGUARD WAKO SIO MAJINI ? Ust SHAFI

Simanzi.!Mke wa Afande shog* aeleza ujumbe alioachiwa na mumewe/Baada ya video chafu kusambaa
▶︎

Simanzi.!Mke wa Afande shog* aeleza ujumbe alioachiwa na mumewe/Baada ya video chafu kusambaa

#KUMEKUCHA:Changamoto taaluma ya famasi "Mtoaji dawa lazima awe mfamasia" .
▶︎

#KUMEKUCHA:Changamoto taaluma ya famasi "Mtoaji dawa lazima awe mfamasia" .

Fahamu Jinsi ya Kuanzisha Biashara ya Duka la Dawa Lenye Faida!
▶︎

Fahamu Jinsi ya Kuanzisha Biashara ya Duka la Dawa Lenye Faida!

Nyumbani  kwa TAJIRI KISINZA mchepuko wa HAWA kwenye DUNIA ya Baba Asma.
▶︎

Nyumbani kwa TAJIRI KISINZA mchepuko wa HAWA kwenye DUNIA ya Baba Asma.

JINSI YA KUPATA JINA ZURI LA BIASHARA AU KAMPUNI YAKO - Victor Mwambene.
▶︎

JINSI YA KUPATA JINA ZURI LA BIASHARA AU KAMPUNI YAKO - Victor Mwambene.

JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YA WAKALA WA PESA, KIRAISI NA GARAMA NDOGO NA INALIPA
▶︎

JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YA WAKALA WA PESA, KIRAISI NA GARAMA NDOGO NA INALIPA