Amon Charles_Ft_Zella Msekeni_Tungekataa Lyrics

Kama Mungu angetuuliza, baadhi ya mambo na hasa yanayohusu wapendwa wetu wa karibu, wengi wetu tusingekubali. lakini kwa sababu Mungu ni Mungu asiyesaidiwa wala kupangiwa chochote anaweza kufanya namna apendavyo, na bado haiwezi kubadili nafasi yake. Mungu atufariji sisi wote ambao tumeshawahi kupoteza wapendwa wetu wa karibu sana!!! "Tungekataa"