ROAD2RECOVERY; UAMUZI WA KUKOMBOA & KUMILIKI KILICHO CHAKO
REV. DR. ADAMHAJJ asisitiza zaidi na kufafanua kwa undani ya kwamba kwa kila jambo au hoja kutimizwa linahitaji uamuzi.Twahitaji kupindua hali ya uchoyo, hali ya kuishi katika ubinafsi maishani mwetu. Hakuna kitakachobadilika katika ulimwengu wetu hadi pale kila mmoja wetu atakapokuwa radhi kubadilika. Mara nyingi huwa tunatamani ulimwengu ubadilike bila ya kukoma kutambua kwamba hali ilivyo ulimwenguni inatokana na njia tunazoishi katika maisha ya ubinafsi na chaguo tunalofanya kila siku. Ikiwa kila mmoja hapa duniani anafahamu jinsi ya kupokea na kuonyesha upendo, dunia yetu ingelikuwa mahali tofauti kabisa pa kuishi. Nafikiri sote twafahamu kuwa kuna jambo lililo kasoro katika jamii na kwamba lahitaji kutatuliwa. Lakini hakuna mtu anayefahamu kinachopaswa kufanywa au jinsi ya kuanza kufanya mabadiliko. Jibu letu kwa ulimwengu usioweza kuthibitika ni kulalamika na kufikiri, kuna mtu anayepaswa kufanya jambo fulani. Tunafikiri na kusema kuwa pengine Mungu au serikali au mtu mwingine yeyote aliye kwenye mamlaka anahitajika kufanya kitendo. Lakini ukweli ni kwamba kila mmoja wetu anahitajika kufanya jambo fulani. Lazima tujifunze kuishi maisha yenye mwelekeo tofauti kabisa na tulivyo sasa. Lazima tuwe radhi kujifunza, kubadilika na kukubali kwamba sisi ni sehemu ya tatizo lililoko. Hatuwezi kutatua kile tusichoelewa, kwa hiyo hitaji letu la kwanza ni kutafuta chanzo cha tatizo lililoko. Ni kwanini watu wengi hawana furaha? Ni kwanini ghasia zimeongezeka sana katika familia, maeneo jirani, miji na mataifa? REV. DR. ADAMHAJJ MINISTRIES For Support & Tithe : +254700146495 WATSUP : +254777700486

SIRI ZA MADHABAHU

SETTING THYSELF FREE FOR RECOVERY BY REV. DR.ADAMHAJJ MOHAMMED

Rev. KIHIMBA Marc, Kuachiliya 2

ADAM HAJI:Jinsi ya kupigana vita vizuri vya imani•Nilipookoka niliburuzwa mitaani Somalia kama mwizi

NDOTO ZA WATU WENGI ZIPO MAKABURINI,UNAWEZA VIPI KUSHINDA?,REV ADAM HAJJ

NIKODEM MWAHANGILA.. AWAUA WAGANGA NA WACHAWI NA KUVURUGA MIPANGO YAO. TAZAMA HADI MWISHO

DO YOU KNOW YOUR STAR?🌟 LEARN MORE ABOUT YOUR STAR WITH REV ADAM HAJJ MOHAMMED

SIRI ZA MAJINI BY REV. DR. ADAM HAJJ

REV: Adam Hajji. SOMO : NYOTA : SEHEMU YA 1

REV ADAM HAJJ - SOMO - NYOTA

ADAM HAJI || SHIKILIA IMANI || ADAM HAJI BURUNDI

ADAM HAJI:Wakristo hawajui Mungu anavyowapenda•Alshabab waliua mke wangu baada tu ya kufunga ndoa

FAHAMU NGUVU YA MAOMBI USIKU WA MANANE.

7 Things Witches Do When You've EXPOSED Them-BY DR.MYLES MUNROE

SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO

🌟 Say This 3 Times — God Will Open Doors You Never Expected || Kathryn Kuhlman

KARAMA YA KUNENA KWA LUGHA NA KUIMBA KATIKA ROHO

Part 2 Ushuhuda wa Adam Haji. Huwezi kukwepa neema ya Mungu. Neema ya Mungu ilimjia na Yesu kamuokoa

FUNGUO ZA USHINDI KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 25/08/2022

