KAULI YA KWANZA YA LUCY KOMBANI BAADA YA USHINDI UBUNGE VITI MAALUM MOROGORO

Mchakato wa kura za maoni kuwapata wagombea ubunge viti maalumu kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoani Morogoro umekamilika, huku Lucy Kombani akiongoza kwa kupata kura 1,314 kati ya kura halali 1,646 zilizopigwa, akifuatiwa na Sheila Lukuba aliyepata kura 597. Katika mkutano huo maalumu wa kura za maoni, jumla ya wajumbe 1,653 kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa huo, kura 6 zimeharibika na kufanya kura halali kuwa 1,646. Akitangaza matokeo jana Jumatano Julai 30, 2025 saa tano usiku, Msimamizi wa uchaguzi huo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amesema shughuli hiyo imehusisha wagombea tisa akiwemo Josephine Kupuna aliyepata kura 454, Jane Claude Mihanji 339, Aliyah Awadh Omar 236, Amina Ally Karuma 153, Hajira Said Mwikoko 90, Kulwa Nuhu Kangeta 75 na Rahel Mashishanga 37. “Niwapongeze wajumbe kwa hatua hii nzuri tuliyofikia baada ya hapa majina yanaenda ngazi za juu kwaajili ya taratibu za mwisho kwa mujibu wa taratibu za chama chetu cha Mapinduzi,” amesema Malima. Naye Lucy Kombani amewashukuru wasimamizi kwa kusimamia upigaji kura wajumbe wote kupiga kura kwa uhuru na haki, huku akiahidi kuunga mkono mipango ya Serikali kwa maslahi mapana ya Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mkutano huo maalumu wa UWT Mkoa wa Morogoro umefanyika katika Uwanja wa Jamhuri Morogoro. Xxx

CELINA KOMBANI ASHINDA UBUNGE VITI MAALUM WANAWAKE MOROGORO
▶︎

CELINA KOMBANI ASHINDA UBUNGE VITI MAALUM WANAWAKE MOROGORO

Mapya kukamatwa kwa Lucy Shayo wa CHADEMA, Mwenyekiti Morogoro Jackson Marlisa aeleza kinachoendelea
▶︎

Mapya kukamatwa kwa Lucy Shayo wa CHADEMA, Mwenyekiti Morogoro Jackson Marlisa aeleza kinachoendelea

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM
▶︎

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

EXCLUSIVE INTERVIEW: KUMBE ANKO MAFIX UONGO ALIANZIA SHULE
▶︎

EXCLUSIVE INTERVIEW: KUMBE ANKO MAFIX UONGO ALIANZIA SHULE

WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM WAKIWAPIGIA MAGOTI WAJUMBE
▶︎

WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM WAKIWAPIGIA MAGOTI WAJUMBE

Cleaner Anatoly Pretends to Be an Old Man in the Gym
▶︎

Cleaner Anatoly Pretends to Be an Old Man in the Gym

🔴#LIVE: TEC WANATOA TAMKO YALIYOTOKEA OKTOBA 29 ,NA  MSIMAMO MKALI...
▶︎

🔴#LIVE: TEC WANATOA TAMKO YALIYOTOKEA OKTOBA 29 ,NA MSIMAMO MKALI...

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

30 Real Life Superheroes | Random Acts of Kindness That Will Make You Cry #8
▶︎

30 Real Life Superheroes | Random Acts of Kindness That Will Make You Cry #8

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone
▶︎

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

SHAME ON YOU MR.SPEAKER, HOW CAN YOU STOP ME FROM SUBSTANTIATING?Okiya Omtata loses temper in senate
▶︎

SHAME ON YOU MR.SPEAKER, HOW CAN YOU STOP ME FROM SUBSTANTIATING?Okiya Omtata loses temper in senate

BOSOLO NA POLITIK | ARTICLES VERROUILLÉS ET NON : QUE FAIRE POUR CONVAINCRE LES OPPOSANTS ?
▶︎

BOSOLO NA POLITIK | ARTICLES VERROUILLÉS ET NON : QUE FAIRE POUR CONVAINCRE LES OPPOSANTS ?

🅻🅸🆅🅴:HECHE AISIMAMISHA MPANDA MJINI MKUTANO WA HADHARA
▶︎

🅻🅸🆅🅴:HECHE AISIMAMISHA MPANDA MJINI MKUTANO WA HADHARA

DAR ES SALAAM DOCUMENTARY _  TANZANIA YA SAMIA | MEENA ALLY | IDRIS SULTAN #film #tanzania
▶︎

DAR ES SALAAM DOCUMENTARY _ TANZANIA YA SAMIA | MEENA ALLY | IDRIS SULTAN #film #tanzania

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"
▶︎

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"

LUCY KOMBANI AONGOZA KURA ZA MAONI UBUNGE VITI MAALUMU MOROGORO
▶︎

LUCY KOMBANI AONGOZA KURA ZA MAONI UBUNGE VITI MAALUMU MOROGORO

WATUMISHI WA UMMA WAMETAKIWA KUTOA HAKI KWA WANANCHI
▶︎

WATUMISHI WA UMMA WAMETAKIWA KUTOA HAKI KWA WANANCHI