SIKU KUU -TENZI ZA ROHONI 056

Siku kuu ni ile siku ya wokovu ambayo mtu huokolewa kutoka dhambini na Yesu ,anapomwamini .Moyo wa anaye amini hujaa furaha na amani isiyozuilika siku hii, akishuhudia maisha mapya; sasa yuko katika agano la karibu na Mungu .Yeye hujitoa kabisa kwake bila kurudi nyuma huku moyo wake umetulia ndani ya Yesu bila wasiwasi, akimtumaini kikamilifu, akijua kwa hakika kwamba Yesu ndiye njia pekee ya uzima (Warumi 10:9; 2 Wakorintho 5:17; Yohana 14:6). #nyimbozawokovu #kenyangospelmusic #gospelmusic #music #hymnssongspraise #cover #duet #tenzizarohoni #tenzizarohoni ##eastafricanmusic #kenyangospelmusic #gospelmusic #music #hymnssongspraise #cover #kusifu #tenzi #injili #nyimbozawokovu #nyimbozayesu #kusifu #NY#coversong #sikukuu#kusifu #swahilisongs #Tenzi56#gospelmusic #nyimbozayesu #injili #tanzaniagospel #tanzaniagospelmusic #rwandagospel #burundi #swahiliworshipsongs #tanzaniagospel #worshipmusic #injiliyakristo #injili #congogospel #ugandagospelmusic #ugandagospel #tanzaniagospelmusic