FULL VIDEO: Wananchi walivyomkataa Mkuu wa Wilaya mbele ya Waziri Mkuu
Wananchi wa Wilaya Kwimba wamejitokeza na mabango mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa wakati wa ziara yake kwenye Wilaya hiyo wakishinikiza kuwa hawamtaki Mkuu wa Wilaya wa Kwimba kwa madai amekuwa akiwafanyisha kazi wananchi kwenye mashamba yake bila ya kuwalipa na kuwakamata bila kosa. Wazii Mkuu baada ya kusoma mabango ya wananchi amemuagiza Mkuu wa Mkoa John Mongella kulifanyia uchunguzi ili majibu yapatikane upesi.

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
RC Mtanda aicharukia Wilaya ya Kwimba, ataka magari yatengenezwe

▶︎
LIVE: WAZIRI MKUU MAJALIWA ANAZUNGUMZA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA MWANZA, KWIMBA

▶︎
Makongoro Nyerere mbele ya Rais Samia "Watanzania wanapenda kiki, Mtoto wa rais hana posho..."

▶︎
WAZIRI MKUU MAJALIWA AONESHA UMAHIRI WA KUZUNGUMZA KIMWERA

▶︎
WANANCHI WAMNG'OA MADARAKANI MWENYEKITI WA MTAA KISA MPIGA DILI "AMEUZA ENEO LA ZAHANATI NA VIWANJA"

▶︎
RAIS MAGUFULI AMPA MAKAVU LAIVU WAZIRI MKUU MAJALIWA - "SIJASEMA UTAKUWA WAZIRI KWA MIAKA 5".....

▶︎
WAKAZI WA WILAYA YA KWIMBA WAMPOKEA MKUU MPYA WA WILAYA KWA KUMUELEZEA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI

▶︎
WAPIGA DEBE, BODABODA WAPEWA SILAHA NZITO KUPUNGUZA UHALIFU!

▶︎
MWENDA ACHARUKA YANGA BINGWA MSIMU HUU | MSIMU UJAO YANGA WATAOMBA PO! TUNATAKA KIONGOZI KAMA HERSI

▶︎
Shangwe SUGU alivyochana mbele ya Waziri Mkuu, Wabunge wampa hela, Prof. J adata

▶︎
Waziri Mkuu atumbua watumishi watatu Kigoma kwa ubadhilifu

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
M/KITI WA KIJIJI ASIMAMISHWA KAZI/MKASA MZIMA HUU HAPA

▶︎
Wananchi wazuia msafara wa Waziri Mkuu wakiwa na mabango

▶︎
"MKURUGENZI NIMEKUSAMEHE, GARI NAKURUDISHIA ILA USIRUDIE" - RAIS MAGUFULI..

▶︎
Madaktari 3 wa hospitali ya Ngudu Kwimba wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za ubadhilifu.

▶︎
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - "KAMA HAWATAKI WATUACHIE - WANAVUNA MITI - WANAPELEKA CHINA"...

▶︎
Babu Owino speaks at Milimani Law Courts after defending 'Mr Speaker Sir' Ezekiel Kyama

▶︎
