SHAMRA SHAMRA ZA EID UL ADHA KAUNTI YA ISIOLO
Huku waumini wa dini ya Kiislamu wakiendelea kujiandaa kusherehekea sikukuu ya Eid ul Adha, shamra shamra zimeendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Kaunti ya Isiolo, hususan katika soko la mifugo la mjini Isiolo. Katika soko hilo, shughuli za biashara ya mifugo zimeongezeka huku wafanyabiashara na wanunuzi wakifanya maandalizi ya sikukuu hiyo. Hata hivyo, wafanyabiashara wa mifugo wanasema kuwa bei ya mbuzi, kondoo na ng’ombe imeshuka ikilinganishwa na siku za awali, hali wanayoeleza kuchangiwa na kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Akizungumza katika soko hilo, mwenyekiti wa soko la mifugo, Mohamed Wario, amesema kuwa gharama kubwa za mafuta zimeongeza gharama za usafiri, jambo ambalo limeathiri idadi ya wanunuzi wanaonunua mifugo kwa wingi kama ilivyokuwa hapo awali. Ameongeza kuwa katika siku za kawaida za soko, idadi ya mifugo inayowasili huwa kubwa, lakini kwa sasa imepungua kutokana na gharama za kuisafirisha kutoka maeneo ya mashinani. Kwa upande wake, mfanyabiashara wa mifugo Abdi Tuse amesema kuwa kupanda kwa bei ya mafuta kumeleta changamoto kwa wafanyabiashara na wanunuzi, akieleza kuwa baadhi ya wafugaji wameshindwa kupeleka mifugo yao sokoni kutokana na gharama kubwa za usafiri. Join this channel to get access to perks: / @wasotv WASO TV - Informing and Entertaining

Should We Be Planting 2 Year Old Seed?? Ep. 21

GAVANA GUYO AONGOZA MAADHIMISHO YA MADARAKA KATIKA ENEO LA MALKAGALA KAUNTI YA ISIOLO.

MUMINA BONAYA AHUTUBIA WAKAZI WA MALKAGALA WAKATI WA SHEREHE ZA MADARAKA DAY 2026, ISIOLO

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

🇧🇫36 Massive Projects Transforming Burkina Faso

ZAIDI YA MICHE 160,000 YAPANDWA ISIOLO KATIKA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

this is Not New York but Nairobi, the African city that shines bright at night like it's New York

HOW TO MAKE MILLIONS BY RAISING OF DAIRY CATTLE . 5 HACKS THAT CAN CHANGE YOUR LIFE.

Wuxuu bilaabay Mashruuc Digaag oo Noloshiisa Beddelay "How Chickens Changed a Young Man's Life"

Millionare under 30 yrs. This is How I made my Wealth from Dairy Farming starting from just 2 Cows.

ISIOLO YAPOKEA JENGO LA KISASA LA UZAZI KUTOKA KWA WAKFU WA SAFARICOM

I Started Running The Sprayer!

Inside The Gambia’s Largest Ram Farm at Kings Farm 2026 Tabaski Cheapest Ram In The Gambia

INKA 4 ZIMWINJIRIZA ASAGA 960,000 KUKWEZI

بادية الصومال | Miyiga Soomaal

All 13 Species of Wild Cattle Ranked by How Powerful They Are

FURAHA ISIOLO: WANAFUNZI WA MADRASATUL TAQWA WANG'ARA KATIKA TUZO ZA JUZUU KABLA YA EID-UL ADHA.

Abandoned Dozer In Pond | Will It Start?

NYUMBANI KWA PASTOR HAKUKALIKI BAADA YA MWANAWE KUWA MUISLAMU.

