LIJUE CHIMBO LA VIATU MKOANI MWANZA

Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilingia mtaani kutafuta maisha ndipo nilipo jisogeza paka kwenye jiji la miamba Mwanza alimaarufu rock City Nilipofika tu Mwanza nilianza na biashara ya kuuza viatu vya kike simple zile bei ndogo nilifanya ile biashara kwa kipindi cha miezi miwili tu. Nikabadili biashara na kuanza kuuza simu za mkononi nilifanya biashara ya simu kwa mwaka moja tu Kwa mara nyingine tena nikabadili tena biashara nakuanza kuuza viatu na sandals biashara ya viatu na sandals ndio ninafanya paka muda huu ni biashara nzuri sana ambayo ukiwa nayo makini unaweza kutajirika na kusahau umasikini kabisa Unajua kwanini nakuambia hivyo hii biashara nimeifanya kwa miaka 7 ni biashara nzuri sana naitambua vizuri Inachangamoto ila siyo kubwa sana kama za biashara nyingine ambazo nimefanya. Uzuri hii biashara cha kwanza kuna faida kubwa sana na inamzunguko mkubwa sana Unaweza kupata paka 60 elfu kwa katoni moja tu ata zaidi na hii katoni moja unaweza kuuza kwa siku au wiki inategemea sana mzunguko wako. Karibu kwenye biashara ya viatu.

#BusinessTrip Nikiwa CHUO nilikua NAINGIZA LAKI 9/Nilikuwa nauza VIATU vya KIKE
▶︎

#BusinessTrip Nikiwa CHUO nilikua NAINGIZA LAKI 9/Nilikuwa nauza VIATU vya KIKE

MAN DOJO AONYESHA STORE YAKE YA KUUZA VIATU / WASANII HAWA WANAKUJA KUNIUNGISHA / WANAKOPA SANA
▶︎

MAN DOJO AONYESHA STORE YAKE YA KUUZA VIATU / WASANII HAWA WANAKUJA KUNIUNGISHA / WANAKOPA SANA

DUKA Pekee Linalouza VIATU Orijino kwa BEI Nafuu
▶︎

DUKA Pekee Linalouza VIATU Orijino kwa BEI Nafuu

Storchennest Live Webcam in Bad Salzungen, Thüringen
▶︎

Storchennest Live Webcam in Bad Salzungen, Thüringen

SIRI ZA UCHAWI KIGOMA/DAWA 'KONK' YA KUNASA WANAWAKE NI HATARI/MTAALAM AFUNGUKA
▶︎

SIRI ZA UCHAWI KIGOMA/DAWA 'KONK' YA KUNASA WANAWAKE NI HATARI/MTAALAM AFUNGUKA

Idrisa: Msomi aliyeupa thamani UJI, kikombe ni tshs 4,000 lakini Dar inaunywa balaa, hii ndio SIRI
▶︎

Idrisa: Msomi aliyeupa thamani UJI, kikombe ni tshs 4,000 lakini Dar inaunywa balaa, hii ndio SIRI

Usinunue ARDHI/KIWANJA kabla hujasikiliza hii! Haya ni MAKOSA wanayofanya wengi ‘Usinunue kwa hisia’
▶︎

Usinunue ARDHI/KIWANJA kabla hujasikiliza hii! Haya ni MAKOSA wanayofanya wengi ‘Usinunue kwa hisia’

Dhimbja e Gruas - Episodi 30
▶︎

Dhimbja e Gruas - Episodi 30

#BMGTV Uzuri wa Tanzania (Episodi 01) Mitaa ya Jiji la Mwanza
▶︎

#BMGTV Uzuri wa Tanzania (Episodi 01) Mitaa ya Jiji la Mwanza

MONEY MATTERS: Undani wa biashara ya chakula
▶︎

MONEY MATTERS: Undani wa biashara ya chakula

FAIDA ZA KUJITOA KWA BWANA|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 22/12/2024
▶︎

FAIDA ZA KUJITOA KWA BWANA|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 22/12/2024

Hassle Yangu : Nilifungua Biashara Juu Meru Kuna pesa sana,Anne aambia Hassan
▶︎

Hassle Yangu : Nilifungua Biashara Juu Meru Kuna pesa sana,Anne aambia Hassan

KUTANA NA MFANYABIASHARA ALIYEANZIA BIASHARA KWENYE CHUMBA CHAKE CHA KULALA
▶︎

KUTANA NA MFANYABIASHARA ALIYEANZIA BIASHARA KWENYE CHUMBA CHAKE CHA KULALA

UTACHEKA JOTI,BAMBO,KINGWENDU WALIVYO VUNJA MBAVU MAKOMEDIANI WENZIO KWENYE TANZANIA COMEDY AWARD
▶︎

UTACHEKA JOTI,BAMBO,KINGWENDU WALIVYO VUNJA MBAVU MAKOMEDIANI WENZIO KWENYE TANZANIA COMEDY AWARD

HAPA NDIPO WATANZANIA WENGI HUNUNUA NGUO NA KULETA TZ.
▶︎

HAPA NDIPO WATANZANIA WENGI HUNUNUA NGUO NA KULETA TZ.

MH SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMUOKOA KIJANA ARUSHA ASICHOMWE MOTO BAADA YA KUIBA SIMU
▶︎

MH SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMUOKOA KIJANA ARUSHA ASICHOMWE MOTO BAADA YA KUIBA SIMU

(MP MKOLONI) WAZO NI MTAJI TOSHA
▶︎

(MP MKOLONI) WAZO NI MTAJI TOSHA

Malaika: Alianza na mtaji wa laki nne kwa sasa anamtaji wa milion 80
▶︎

Malaika: Alianza na mtaji wa laki nne kwa sasa anamtaji wa milion 80

Binti muuza viatu vya mtumba aliyevuna milioni 5 kwa mtaji wa tsh 40000 alia kisa Nancy Sumari
▶︎

Binti muuza viatu vya mtumba aliyevuna milioni 5 kwa mtaji wa tsh 40000 alia kisa Nancy Sumari

HIZI NI BIASHARA 25 UNAZOWEZA KUFANYA KWA MTAJI WA ELFU 20 TU!
▶︎

HIZI NI BIASHARA 25 UNAZOWEZA KUFANYA KWA MTAJI WA ELFU 20 TU!