'Vigogo CUF' Wakipokea KADI za ACT -WAZALENDO
Kiongozi wa chama cha #ACT-Wazalendo, #ZittoKabwe amewakabidhi kadi za uanachama wa chama hicho waliokuwa vigogo wa Chama cha Wananchi (CUF) huku Maalim Seif Sharif Hamad akipewa kadi namba moja na Juma Haji Duni akikabidhiwa kadi namba 10. Shughuli ya kukabidhi kadi hizo inaendelea kufanyika leo Machi 19, 2019, makao makuu ya ACT- Wazalendo yaliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Viongozi wengine ambao wamekabidhiwa kazi ni Ismail Jussa, Mbalala Maharangande na Sheweji Mketo, Katika makabidhiano hayo, Zitto amesema hiyo namba kumi ambayo amekabidhiwa Duni ni kama mchezaji wa timu ya Liverpool.

▶︎
#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

▶︎
JOHN HECHE, LEMA, SUGU, MNYIKA WANAWASHA MOTO TABORA MJIJI MUDA HUU

▶︎
MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

▶︎
Ecuador vs. Germany Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

▶︎
Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

▶︎
HISTORIC COMEBACK BY THE GREATEST JAPANESE GENERATION OF ALL TIME AGAINST ANCELOTTI’S BRAZIL

▶︎
HECHE AMVAA KATAMBI BILA UWOGA, KATAVI YAITIKA NYOMI

▶︎
CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

▶︎
BABALEVO AMVAA WAZIRI KATAMBI AAKATA LA WANAJESHI | UNASUBILIWA NJE ULIPE HELA ZAO | AMJIA JUU

▶︎
IGP WAMBURA, RC SIRRO WALIVYOONGOZA WAOMBELEZAJI KUAGA MWILI WA RPC TABORA

▶︎
Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

▶︎
Türkei – USA Highlights | Gruppe D, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
National Assembly: Before the Minister - Guy Marius attacks Diomaye: "He shouldn't have let Macro...

▶︎
UBURUNDI BUGIYE KUGIRA AMABARABARA Y'AGATANGAZA (AYARI VIP BAZORIHA)|| AMASHURE ADASANZWE N'IBITARO

▶︎
Zanzibar Ministers must stop using the Union as an excuse for intimidation – ACT

▶︎
Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.

▶︎
Tunesien – Niederlande Highlights | Gruppe F, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
