Lowassa Afunguka Alivyohojiwa na DCI, Aachiwa kwa Dhamana
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amefunguka kuhusu alivyohojiwa kwa saa nne katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ambapo baada ya kuhojiwa ameachiwa kwa dhamana na kuondoka makao makuu ya polisi majira ya saa 8. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuachiwa, Lowassa alisema aliitwa na polisi kutokana na hotuba yake aliyoitoa siku chache zilizopita, nyumbani kwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara kuhusu suala la mashehe wa uamsho wanaoshikiliwa kwa zaidi ya miaka minne sasa. Lowassa alisema anawaomba wafuasi wake wote watulie na kuongeza kwamba ameambiwa arejee tena kwa mahojiano Alhamisi ya wiki hii. Naye Katibu Mkuu wa Chadema, Vincent Mashinji, alisema kuwashikilia wafuasi wa uamsho kwa kipindi chote hicho, bila kupandishwa mahakamani ni makosa na ni kinyume na haki za binadamu. Akawaomba wafuasi wa Chadema na wapenda maendeleo, watulie katika kipindi hiki. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublishers TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpublishers

EMS አሁናዊ መረጃ! ይህን ጉድ ተመልከቱ! ምርኮኞች ገቡ( ቪዲዮ) Thu 9July 2026

Askofu Bagonza Atoa Tafakari Nzito: Hali ya Siasa, GEN-Z na Tunapoelekea

Wantam Drama in Court as Lawyer Ndegwa Njiru who was arrested by Drunk Police is Released by Court!

OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA

Panic in state House as ODM Party leader James Orengo holds Mega Wantam Rally in Majengo, Mombasa!🔥

Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar

Ifatwa rya Kigali, Umunsi abona Kagame na Rwigema, ubwicanyi... | Ubuhamya bwa Col (Rtd) Mugisha

"I'm From Kisii & We're Not Stupid!" Sen. Onyonka Explodes at Lote: "Follow Arati at Your Own Risk!"

Lowassa akiwa ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya bunge

OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI

HOTUBA NZITO ya RAIS MWINYI MBELE ya RAIS SAMIA KWENYE TAMKO la PAMOJA la MARIDHIANO ya CCM na ACT..

Rais Trump asema leo usiku Marekani itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

JAJI MANYOTA AMVAA LEMA - ''SIYO HESHIMA YAKE - AKIFA CHADEMA ITAENDELEA KUWEPO''...

🔴 #ZBCLIVE:- TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA ZANZIBAR

Prof. Lipumba: Mbowe alitumia nguvu zake zote kumpata Lowassa Chadema | ANAZEEKA VIBAYA

JAJI MKUU MASAJU ATOA ONYO ZITO - "MKIMDHULUMU MNYONGE - MNAKARIBISHA LAANA KWENYE VIZAZI VYENU"..

Finally Sifuna's Linda Mwananchi gives way forward on Sifuna's 2027 presidency as Ruto gets worried🔥

Mbowe Afunguka A-Z Safari ya Lowassa Kurejea CCM

Lowassa alivyosikiliza masharti ya dhamana ya Mbowe, Viongozi CHADEMA

