Serikali Kushirikiana na Wananchi kutekeleza Mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma na Katewaka

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya MM Steel Resource Public Ltd( MMSR) kufikia makubaliano ndani ya wiki tatu ili utekelezaji wa Mradi huo uanze. Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza Shirika hilo kushirikiana na Wadau wake mbalimbali katika Mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma na Katewaka kujenga madarasa mawili katika Shule ya Msingi Nkomang’ombe iliyopo katika maeneo ya Miradi hiyo. Waziri Jafo ametoa agizo hilo Februari 17, 2025 wakati wa ziara yake Mkoani Njombe katika Wilaya ya Ludewa yenye lengo la kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi Mchuchuma na Ketawaka, Liganga na Maganga Matitu pamoja na kuongea na Wananchi wa maeneo hayo. Akiongea na Wananchi wa Kijiji cha Nkomang’ombe, Waziri Jafo amewahakikishia kuwa atashirikiana nao kuhakikisha Mradi huo unaanza kutekelezwa ili kutimiza malengo ya Serikali ya Awamu ya Sita, kuongeza ajira na Pato la Taifa kwa ujumla. Awali Afisa Mradi wa NDC Bw. Wallu Kapaya akitoa Taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Ketawaka amesema Mradi huo una tani milioni 100 za makaa ya mawe utakaapoanza uchimbaji una uwezo wa kuzalisha tani milioni 1.5 kwa mwaka na unatarajiwa kudumu kwa miaka 100 huku ukitoa ajira 1000 ambapo ajira za moja kwa moja 250 Naye Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika hilo Bi Esther Mwaigomole akitoa Taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe ya Mchuchuma yaliyogunduliwa mwaka 1860. amesema Mradi huo unahifadhi tani milioni 426 za Makaa ya Mawe ambapo uzalishaji ukianza tani milioni tatu zitazalishwa kwa mwaka na Mradi utadumu kwa miaka 426 huku ukitoa ajira 33000. Viongozi wa Mkoa wa Njombe, akiwemo Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Juma Sweda na Mbunge wa Ludewa, Joseph Kamonga, wamesema kuwa kukamilika kwa miradi ya Mchumchuma na Ketawaka kutakuwa hatua kubwa katika kubadilisha uchumi wa wananchi wa Ludewa na maeneo jirani.

WAZIRI JAFO AFIKA MLIMA KIMELEMBE ULIOKWAMISHA MIRADI NA KUUA WATU, LUDEWA-NJOMBE
▶︎

WAZIRI JAFO AFIKA MLIMA KIMELEMBE ULIOKWAMISHA MIRADI NA KUUA WATU, LUDEWA-NJOMBE

I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions
▶︎

I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

#LIVE:29- 06 - 2026] USIKU WA KUPANDISHWA THAMANI(MFUNGO WA MASAA 24)  Prophet Em Thadeo.
▶︎

#LIVE:29- 06 - 2026] USIKU WA KUPANDISHWA THAMANI(MFUNGO WA MASAA 24) Prophet Em Thadeo.

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA
▶︎

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

🔴LIVE:  VIJANA WATAKIWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANIKIWA
▶︎

🔴LIVE: VIJANA WATAKIWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANIKIWA

MJASIRIAMALI HUYU ALIANZIA CHINI NA SASA ANAMILIKI KIWANDA CHA KUTENGENEZA SABUNI KWA MSAADA WA SIDO
▶︎

MJASIRIAMALI HUYU ALIANZIA CHINI NA SASA ANAMILIKI KIWANDA CHA KUTENGENEZA SABUNI KWA MSAADA WA SIDO

Umuhanda Nyacyonga–Mukoto Perezida Kagame yemereye abaturage watangiye gushyirwamo kaburimbo
▶︎

Umuhanda Nyacyonga–Mukoto Perezida Kagame yemereye abaturage watangiye gushyirwamo kaburimbo

🔴LIVE:  WAZIRI KAPINGA KUONGOZA UTIAJI SAINI WA MAKUBALIANO YA KIMKAKATI KATI YA TAASISI ZA VIWANDA
▶︎

🔴LIVE: WAZIRI KAPINGA KUONGOZA UTIAJI SAINI WA MAKUBALIANO YA KIMKAKATI KATI YA TAASISI ZA VIWANDA

MAJALIWA AZINDUA KIWANDA CHA SHABA CHUNYA
▶︎

MAJALIWA AZINDUA KIWANDA CHA SHABA CHUNYA

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt
▶︎

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt

Mradi wa Liganga na Maganga Matitu kuanza hivi karibuni
▶︎

Mradi wa Liganga na Maganga Matitu kuanza hivi karibuni

HIZI NDIO MASHINE ZINAZO MPA FAIDA MGUGAJI NA MKULIMA ZINAUZWA NA KAMPUNI YA AFI GREEN
▶︎

HIZI NDIO MASHINE ZINAZO MPA FAIDA MGUGAJI NA MKULIMA ZINAUZWA NA KAMPUNI YA AFI GREEN

TAZAMA MUONEKANO WAKIPEKEE WA MAONESHO YA BIASHARA NYAMANZI ZANZIBAR
▶︎

TAZAMA MUONEKANO WAKIPEKEE WA MAONESHO YA BIASHARA NYAMANZI ZANZIBAR

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

ጣና ዜና፦ሰኔ22/2018፦ሰበር- ብአዴን አመነ | በጄኔራሉ ንግግር ጦሩ ለሁት ተከፈለ | "መከላከያ ነው የሚደግፈን" ጄ/ል ጻድቃን
▶︎

ጣና ዜና፦ሰኔ22/2018፦ሰበር- ብአዴን አመነ | በጄኔራሉ ንግግር ጦሩ ለሁት ተከፈለ | "መከላከያ ነው የሚደግፈን" ጄ/ል ጻድቃን

RAIS SAMIA AUFUFUA MRADI WA MWAKA 1930 ULIOPO CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
▶︎

RAIS SAMIA AUFUFUA MRADI WA MWAKA 1930 ULIOPO CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI KATA YA NYAMWAGA, HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME (19/04/2026)
▶︎

ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI KATA YA NYAMWAGA, HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME (19/04/2026)

UJIO WA MAGARI YA CHAPA YA JETOUR KUFUNGUA FURSA ZA UCHUMI-KAPINGA
▶︎

UJIO WA MAGARI YA CHAPA YA JETOUR KUFUNGUA FURSA ZA UCHUMI-KAPINGA

Magazeti ya leo Juni 30/2026 ijumanne/magazeti ya michezo leo asubuhi/jumanne/simba vs yanga
▶︎

Magazeti ya leo Juni 30/2026 ijumanne/magazeti ya michezo leo asubuhi/jumanne/simba vs yanga

WAZIRI KAPINGA AIPONGEZA MAINLAND GROUP KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI
▶︎

WAZIRI KAPINGA AIPONGEZA MAINLAND GROUP KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI