UKWELI KUHUSU MASHTAKA YA SHETANI

Maandiko matakatifu yanamuelezea SHETANI kama mshtaki wetu; 1Petro 5:8 na Ufunuo 12:10. umewahi kujiuliza anatushtaki wapi na kwa namna gani maana Mbinguni alipoteza uwezo wa kupeleka mashtaka yake tangu mwaka 31AD baada ya kumuua mwana wa Mungu. fuatilia pamoja nami Somo hili