UTENZI TOKA ZANZIBAR (by Mwidini Mwanakombo)

Maonesho ya kwanza ya Baraza la Taifa la Ellimu ya Ufundi na Mafunzo Stadi (NACTVE) Nationa Council For Technical Education and Vocational Training) yaliyofanyika Kuanzia tarehe 07 hadi 13 June 2022 katika Uwanja wa Jamhuri jijini, Dodoma. Aidha Maonesho hayo yaliburudishwa na wasanii Maarufu kama Mjomba Mrisho Mpoto band, Banana Zoro band, Ngoma na Band toka Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira Arusha Maarufu CAC, Utenzi wa Bi Mwidini Mwanakombo toka Zanzibar , Ngoma Nyati toka Chamwino, Kwaya ya Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, n.k. KAULI MBIU NI KUIMARISHA UBORA WA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO STADI KWA UZALISHAJI WA NGUVU KAZI MAHIRI