KUHOKA - KWA NINI NDOA ZINAVURUGIKA? WATU NI WAVIVUU😀😀 #Bariadi #sdachurch #choir

Mwinjilisti Boniphace Kuhoka, akifundisha somo lisemalo Kwa nini Ndoa zinavurugika ni moja ya hubiri lake lililopendwa na wengi sana. Tazama na sikiliza mafundisho haya hadi mwisho kisha mtumie na rafiki ili abarikiwe. Tafadhali Kumbuka ku SUBSCRIBE. #bariadi #bariavungtau #sda #kuhoka