RC MAKALLA AMEAMURU KUKAMATWA KWA MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA WA MBONDOLE NA WAJUMBE WAKE.
Like and Share RC MAKALLA AAMURU KUKAMATWA VINARA WA UUZAJI ARDHI MTAA WA MBONDOLE MSONGOLA. Yumo Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe waliotajwa kwenye hati Za mauziano. Jumla ya Shilingi Milioni 179 zimehusika kwa kuuza Ardhi ya Ndg. Martin Nasson ambaye ni mmliki halali. Aagiza kusimamisha ujenzi Na uuzaji ardhi eneo Hilo mpaka Suluhu itakapopatikana. Asema serikali haitowavumilia wavamizi wa ardhi ktk mkoa DSM. Wananchi zaidi ya 700 hawajui hatma yao Baada ya Mahakama kuamuru nyumba zaidi ya 200 zivunjwe. RC Makalla awaomba Wananchi kuwa watulivu wakati Serikali yao sikivu ikitafuta muafaka na Mmiliki wa eneo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameamuru kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mbondole na Wajumbe kwa tuhuma za kushiriki utapeli wa kuuza eneo la Mwananchi kwa Wavamizi zaidi ya 700 ambao mpaka Sasa hawajui hatma yao Baada ya Mahakama kuamuru nyumba zaidi ya 200 za Wavamizi zivunjwe. RC Makalla ametoa maamuzi hayo wakati alipotembelea eneo Hilo na kujionea Hali halisi Kisha kufanya mkutano wa hadhara uliokutanisha Mmiliki halali wa eneo na Wavamizi na kutoa maelekezo ya kuzingatiwa wakati Suluhu ikitafutwa. Miongoni mwa maelekezo aliyotoa RC Makalla ni pamoja na kusitishwa kwa Shughuli yoyote ya mauziano ya Ardhi na uendelezwaji wowote wa Ardhi mpaka pale Serikali itakapotoa maelekezo. Aidha RC Makalla ameelekeza TAKUKURU kufanya mapitio ya Nyaraka zote za mauzioano ili ipatikane taarifa kamili na wote waliohusika wawajibishwe kwa mujibu wa sheria ambapo amekemea Vitendo vya uvamizi wa maeneo na uuzaji Ardhi kiholela. Pamoja na hayo RC Makalla amesema Baada ya kupatikana kwa taarifa kamili Serikali itakaa meza moja na Mmiliki, Wawakilishi wa Wavamizi na Kamati ili kutoka na muafaka wa pamoja wa kumaliza Mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 10. Katika mkutano wa Leo RC Makalla kwa kushirikiana na Wataalamu wamepitia nakala zaidi ya 108 za mauziano ya zaidi ya Shilingi Milioni 179 ambapo kiasi chote hicho Cha fedha kimeliwa na "wajanja".

OKUGGYAKO AKULIRA OLUDDA OLUWABULA : Bannamateeka baliko bye bawabudde abakitembeeta

Why Idi Amin Shot His Own Army Chief

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA WABUNIFU WADOGO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME IKULU DSM

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

#LIVE : 🔴 UCHAGUZI MWENYEKITI NA MAKAMU MWENYEKITI ACT WAZALENDO - MLIMANI CITY DAR ES SALAAM.

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Türkei – USA Highlights | Gruppe D, FIFA WM 2026 | sportstudio

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha I

UJENZI WA UWANJA UNASIMAMIWA NA INJINIA MWENYEWE,MZEE MSUMI APEWA MAELEKEZO,UNAUMIA UKIWA WAPI?

Wike Fires Back At Tambuwal, Labels Him, Atiku ‘Betrayers’

Vifaa vya Mchungaji KIMARO wa KKT Kijitonyama vyapakiwa kwenye gari akiondoshwa Rasmi eneo la kanisa

JOHN HECHE ACHARUKA/"HATUTASHIRIKI MARIDHIANO HADI LISSU AACHIWE"

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Matukio katika Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo Dar es salaam

HECHE AVUNJA REKODI TUNDUMA, NI BALAA, AITANDIKA SERIKALI YA CCM BILA HURUMA HADI UMEME UKAKATA

