#JINSI YA KUANDAA UNGA WA LISHE A-Z NA MADAM SPORAH .#NUTRITION TIPS

TAFADHARI BONYEZA SUBSCRIBE HAPO JUU SHARE NA WENGINE WAONE MAWASILIANO ZAIDI 0717999738 KWA MASWALI AU USHAURI . Production by ‪@aghamedia‬ UNGA WA LISHE NA FAIDA ZAKE . Unavitamini A,B,C,D, na K+ . Unamadini ya chuma, potassium, calcium, phosphorus, zinc na magnesium . Unaongeza kinga mwilini .Unaongeza maziwa kwa mama mwenye mtoto . Unasaidia kuondoa ukomo wa hedhi kwa akina Mama . Unasaidia kuongeza mbegu za kiume . Unasaidia kumpa nguvu mgonjwa kwa haraka . Unga huu umeunda mchanyiko wa makundi ya vyakula vyote. . Kwa mtoto asiye penda kula unga huu nikiboko yake mpe UNGA WA LISHE utakuja kutushukuru baadae