#TAZAMAl GPA HAITAKUWA KIGEZO PEKEE AJIRA VYUO VIKUU- WAZIRI MKENDA
Kuanzia sasa serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe kwa kupimwa uwezo wao kwa kufanya usaili. Kuangalia ufaulu pekee wa wanafunzi haitoshi kuboresha elimu badala yake ni muhimu kuongeza vigezo hivyo katika mapitio ya sera na mabadili ya mitaala jambo hilo litatazamwa kwa weledi mkubwa. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof ADOLF MKENDA ameyasema hayo leo tarehe 12 Disemba 2022 mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt PHILIP MPANGO wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania iliyofanyika Kinondoni Jijini Dar es salam. Amesema wakati serikali inaongeza udahili wa wanafunzi haitakuwa tayari kuona ubora unapungua hivyo serikali inaendelea na mkakati wake wa kuhakikisha ubora wa elimu hususani katika vyuo vikuu unaimarika. "Zamani ilikuwa rahisi kuwa Profesa ukiandika tu kwenye magazeti unakuwa Profesa lakini kwa sasa vigezo vya kuwa Profesa vimezidi kuwa vigumu kwa sababu tunataka maprofesa wetu wawe sawa na wale wa nchi zingine" Amekaririwa Prof Mkenda Amesema katika mageuzi ya elimu yanayokuja ambapo wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ipo katika mapitio ya sera na mitaala miongoni mwa mambo yatakayofanyiwa kazi itakuwa ni pamoja na kuhakikisha wanaoajiriwa ni wanafunzi wenye sifa zinazotakiwa. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

PROF.MKENDA 'AVIANIKA' VYUO VINAVYOGAWA GPA ZA JUU KUVUTIA WANAFUNZI,TCU YAPEWA 'RUNGU' KUPAMBANA

WAZIRI MKENDA AKANUSHA WENYE GPA CHINI YA 3.8 KUONDOLEWA SIFA ZA KUPATA KAZI

WALIMU 14,648 KUAJIRIWA, WAZIRI SIMBACHAWENE ATOA TAHADHARI NA MATEPELI "AJIRA HAINUNULIWI"

Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda Atolea Ufafanuzi 10 Bora Kutotangazwa I Wazazi Sikilizeni Ujumbe

KIKUYUS wantam CUT SHORT as NDINDI NYORO Ruto PLOT encountered Gachagua left STRANDED MT Kenya PANIC

CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA NYUMBA DAR, ATOA MAAGIZO HAYA

Gladys Wanga Stoned In Busia, ODM T-shits Burnt As Crowd Charges Towards Her For Persecuting Sifuna

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

SIFA ZA MSAILIWA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA/ DATABASE

KÙNORWO KÌ WATHO RUTO VS MEDIA MUTHONI WA KIRUMBA NA MA WAKILI

MBUNGE AHOJI KIGEZO CHA JKT KUWA SHARTI LA AJIRA, SPIKA NDUGAI AINGILIA KATI, “HII SIO SAWA”

AJIRA ZA WALIMU, CHUKUENI WALIMU WENYE SIFA NA WALIOJITOLEA, RAIS SAMIA ZANZIBAR

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

KIKAO KAZI CHA MAPITIO YA MWONGOZO, SOPs NA MFUMO WA USIMAMIZI WA MAAFA

Billionaire's WARNING: I'm SELLING. The Crash Is Already Here!

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA IKUNGI-SINGIDA

MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961

20 PERCENT AZUNGUMZIA KAULI YA WAZIRI BITEKO JUU YA MANENO ALIYOIMBA KWENYE TAMAA MBAYA

