Fasihi Simulizi [Tanzu za fasihi simulizi] Fasihi kwa ujumla [FASIHI]

Tanzu na vipera vya fasihi simulizi Fasihi simulizi imegawanyika katika tanzu (matawi) manne (4) ambayo ni: (a) Hadithi (b) Semi (c) Ushairi (d) Sanaa za maonesho /Maigizo (A) HADITHI Ni tungo za fasihi simulizi zitumiazo lugha ya nathari (lugha ya ujazo ya maongezi ya kila siku). Masimulizi hayo hupangwa katika mtiririko unaokamilisha kisa. Hadithi huwa na wahusika ambao ni nyenzo kuu ya kukiendesha kisa chenyewe. Wahusika wanaweza kuwa wanyama, binadamu na kadhalika. VIPERA VYA HADITHI Hadithi hujengwa kwa vipera vifuatavyo: (a)Ngano (b)Vigano (c) Visasili (d)Tarihi (e) Soga NGANO Ni hadithi za kimapokeo zitumiazo wahusika kama wanyama, miti na watu katika kuelezea au kuonya kuhusu maisha. Hizi ni hadithi za maadili ambazo husimuliwa katika mazingira ya starehe, nazo huadili watu katika maisha. Maranyingi hadithi za ngano mwisho wake huwa ni wa kufurahisha. KARIBU SAANA Pia mwishoni nakuonesha badhii ya mitihani na maswali yaliyo tungwa na baraza la mitihani ( past paper) kutokana na kile nilichofundisha karibu saana CRUST, MANTLE, CORE......    • JINSI YA KUFAULU SOMO LA GEOGRAPHY. #PHYSI...   ROCKS.....    • Jinsi ya kufaulu mtihani wa kidato cha nne...   JINSI YA KUPATA PAST PAPER.....    • Jinsi ya kupata mitihani mtandaoni bure (p...   TYPES OF SEDIMENTARY ROCK..........    • JINSI YA KUFAULU SOMO LA GEOGRAPHY #PHYSIC...   ROCK CYCLE................    • Jinsi ya kufaulu GEOGRAPHY /METAMORPHIC RO...   #NECTA #kufaulu #JINSIYAKUFAULU #GEOGRAPHY #FORM3 #KIDATOCHANNE KARBU SAANA