FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA PUMU , DALILI NA MATIBABU YAKE

Kutana na Bingwa wa Magonjwa ya Ndani kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila Dkt. Dr. Paschal Kulwijila akielezea kuhusu Ugonjwa wa Pumu, Dalili na Matibabu yake.