| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]
Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo. #HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo
![| HEKAYA ZA LOLIONDO | Babu asisitiza dawa ilifanya kazi [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/llbCzteGM7Y/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwE9CNACELwBSFryq4qpAy8IARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAHwAQH4AdQGgALgA4oCDAgAEAEYfyBJKCIwDw==&rs=AOn4CLBzrZpZHgJGZdYRKORyIJcCim2gqA)
| HEKAYA ZA LOLIONDO | Babu asisitiza dawa ilifanya kazi [Part 2]

MTAZAME RUBANI MDOGO TANZANIA/WAZAZI WANGU NDIO CHANZO/NIMEISHIA KIDATO CHA NNE/NDEGE NI NYEPESI

CITIZEN NIPASHE WIKENDI ~ JUNE 6, 2026

MSTAAFU KIKWETE Asimulia KIKOMBE cha BABU KILIVYOMTESA - "HATA WAZIRI WANGU LUKUVI NAE ALIKUNYWA"
![| GHOSTS OF LOLIONDO | Babu says he has no regrets over concoction [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/KL63F42RnGs/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwE9CNACELwBSFryq4qpAy8IARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAHwAQH4AdQGgALgA4oCDAgAEAEYfyBHKCIwDw==&rs=AOn4CLD-hRO16nV7ua96y5OuaMnDlsN8Hg)
| GHOSTS OF LOLIONDO | Babu says he has no regrets over concoction [Part 2]
![| GHOSTS OF LOLIONDO | Revisiting Babu's famous concoction [Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/DbusDD7Sa9E/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwE9CNACELwBSFryq4qpAy8IARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAHwAQH4AdQGgALgA4oCDAgAEAEYZSBVKEAwDw==&rs=AOn4CLAS4JSxH_WIe2JCKxDe_d-vFQt75w)
| GHOSTS OF LOLIONDO | Revisiting Babu's famous concoction [Part 1]

Babu wa Loliondo afunguka waliofariki baada ya kikombe, aeleza utajiri wake

The Story Book : AJALI MBAYA Ilivyomuua Mbaraka Mwinshehe (Hadithi Kamili ya Maisha Yake)

MFANYABIASHARA ALIYETUHUMIWA NA MZUNGU ARUSHA KUDAIWA, AKANA MBELE YA RC, WATAKIWA KWENDA MAHAKAMANI

BILIONEA MULOKOZI - ''MARAFIKI WENGI WALINIKIMBIA - NAJENGA NYUMBA NYINGINE ya NDOTO YANGU''...

013 NURDEEN KISHKI UHARAMU WA LOLIONDO

MWEKEZAJI MZUNGU AMWAGA MACHOZI ya KUONDOLEWA KWENYE ENEO LAKE na KUMPISHA MPANGAJI kwa MUDA..

Unakikumbuka Kikombe cha Babu wa Loliondo 2011? Alitikisa Tanzania Kupelekea Watu Kuhamia Samunge

Chanzo cha kifo Babu wa Loliondo chatajwa

PART 1: KIKOMBE CHA BABU,ULIKUWA MKAKATI AU JAMBO LA IMANI?

Deadly Medicare Choices - Loliondo Part 2

CHANZO CHA KIFO CHA BABU WA LOLIONDO "HAKUTAKA WAJUE ANAUMWA, ALIUGUA SIKU NNE"

Part 4: MZEE KIKWETE ANAVYOMKUMBUKA BABU WA LOLIONDO ALIPATA TABU.

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

