MTOTO WA MIAKA MITANO AFARIKI KWA KUZAMA KWENYE MAJI MTWARA| WANANCHI WAMIMINIKA KUMZIKA
Mtoto aliyefahamika kwa jina la Yasini Juma, aliyekuwa akiishi katika Kijiji cha Mwembetogwa Kata ya Muungano Halmashauri ya wilaya ya Mtwara, amefariki Dunia baada ya kuzama kwenye maji katika Mfereji wa Maji uliopo kando ya Kijiji hicho. Mtoto huyo amefariki Dunia siku ya Mei 19, 2026 na kuzikwa leo Mei 20, 2026 katika Makaburi ya Kijiji hicho ambapo inasemekana kuwa siku ya tukio, Mtoto Yasini akiwa na Watoto wenzake wawili walifika kwenye Mfereji huo kwa lengo la kuoga huku Ndugu zao wakiwa Shambani wakiendelea na shughuli ya kuvuna Mpunga, na baada ya muda Mfupi maji yalimzidia na kuzama, kisha kufariki Dunia. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU

▶︎
WATOTO WAWILI WA FAMILIA MOJA WAFARIKI NDANI YA WIKI MOJA| IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA

▶︎
MAGARI YA DANGOTE YAUA MTWARA | DEREVA MMOJA ATOWEKA NA MWINGINE ASHIKILIWA NA POLISI

▶︎
AJALI YA GARI NA BODABODA YASHUHUDIWA MIGOMIGO MTWARA

▶︎
WATU WANNE WAFARIKI KWA AJALI MASASI | DC KASANDA AWATEMBELEA MAJERUHI HOSPITALINI

▶︎
🔴#LIVE:OPARESHENI YA DADA POA MANZESE(UWANJA WA FISI),NA MKUU WA WILAYA YA UBUNGO,MH HASSANI BOMBOKO

▶︎
MWILI wa BODABODA ALIYEJIRUSHA DARAJANI AKAPONDWA na GARI KICHWA HAKITAMANIKI -SHEMEJI ALIA AKIELEZA

▶︎
WANANCHI MTWARA WAMKATAA MWEKEZAJI WA KIGENI WAKIDAI KUWA ATAATHIRI SHUGHULI ZAO ZA UVUVI

▶︎
#PART1: NASWIAT ALIYEFANYA KAZI za NDANI OMAN ASIMULIA MSOTO - MASHETANI - KUTOROKA - HADI UTAJIRI

▶︎
KAMA MWANAUME KUMBE NI MWANAMKE, ONA MAAJABU YA MWANAMKE HUYU , MIMI NI MWANAMKE

▶︎
UBOVU WA KIVUKO CHA MV MAFANIKIO CHA MSANGAMKUU WAMUIBUA DIWANI| TEMESA WAAHIDI KUSHUGHULIKIA.

▶︎
How Kenya Can Lower Fuel Prices | Ndindi Nyoro

▶︎
WATOTO WATATU WAUGUA GHAFLA MTWARA BAADA YA KULA WALI WA BIBI KIZEE WALIOPEWA PORINI.

▶︎
"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO

▶︎
MH SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMUOKOA KIJANA ARUSHA ASICHOMWE MOTO BAADA YA KUIBA SIMU

▶︎
MAPYA MCHINA ALIYEUAWA MABIBO - MKEWE AFICHUA SIRI ya NDOA na UMILIKI wa KIWANDA - AELEZA MENGI..

▶︎
TAHARUKI : MWENYEKITI AOA MKE WA MTU KISA KUMTENGENEZEA SIMU AFUNGA NDOA KWA SIRI MKE WA PILI

▶︎
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUCHAKATA CHUMVI KILICHOPO WILAYA YA KILWA MKOANI LINDI

▶︎
The Day I received News My Husband and Our House Maid were Wedding while i was in Saudi Arabia

▶︎
Mgomo wa sekta ya uchukuzi | Maoni ya Wakenya kabla na baada ya mgomo kusitishwa

▶︎
