Kyanguli Miaka Kumi Baadaye
Usalama wa wanafunzi hasa katika shule za malazi kwa siku za hivi karibuni umetiliwa shaka kutokana na kuongezeka kwa mikasa ya moto ambayo kiini chake mara nyingi huwa hakibainiki wazi. Kwa hivyo usimamizi wa shule mbali mbali umeamua kutilia mkazo usalama wa wanafunzi wake hasa katika mabweni kwa kuzingatia mikakati na mbinu za ujenzi zinazowawezesha wanafunzi kukwepa moto iwapo itatokea. Basi mwanahabari wetu Anders Ihachi alizuru shule ya upili ya Kyanguli kaunti ya Machakos na anatuletea taarifa inayogusia hatua ambazo shule hiyo imepiga kama mfano mzuri, tangu kukumbwa na mkasa mbaya wa moto mwaka 2001, ambapo wanafunzi 67 waliangamia.

▶︎
15 Years Late :Plight of Kyanguli Victims' parents

▶︎
Vitimbi: Wanasiasa waleta siasa zao ndani ya Vitimbi Hotel. Je, nani amemjeruhi Mogaka?

▶︎
NDOTO YA KIFO (2)#stevemweusi #clamvevo

▶︎
#JichoLangu: Mauaji Ya Shantel, Je, ni kwa Nini mtoto Shantel alitekwa nyara na kuuawa Kitengela?

▶︎
Doom In The Dorm - Headline Hitters 1 Ep 11

▶︎
This is our story 15 years later – parents of Kyanguli arson victims

▶︎
SAD! MACHAKOS BOYS SECONDARY SCHOOL CLOSED INDEFINITELY AFTER FIRE RAZED DOWN A DORMITORY

▶︎
A girl suspected to have started fire in Moi Girls to face charges today 13th September 2017

▶︎
Memorial service held for 9 Moi Girls High school fire victims

▶︎
wrap pix of president touring of school fire, incl comment, replay earlier aftermath pix

▶︎
Why are Kenyan students setting their schools on fire? BBC Africa

▶︎
Kyanguli Ten Years Later

▶︎
Kyanguli secondary school marks 17 years since deadly inferno

▶︎
Eight Moi Girls, Nairobi students die in school fire

▶︎
Banned Footage | Inside the Amish Secret World

▶︎
First Lady Attacks Saitoti Over Tanker Tragedy.

▶︎
DNA identification process for Moi Girls,Nairobi fire victims

▶︎
School girl who started a fire that killed 10 students sentenced to 5 years in prison

▶︎
Funerals for the children who died in school fire

▶︎
