NAIBU WAZIRI KIKWETE AWA MBOGO "WATANZANIA KWANINI TUNAVUTANA MLIAMUA WENYEWE"
WAZIRI KIKWETE AWA MBOGO "WATANZANIA KWANINI TUNAVUTANA MLIAMUA WENYEWE" Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Manyara kuweka mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi na kuwapatia hati wakazi wa eneo la ekari 2,390 zilizotolewa na Mhe. Rais katika Bonde la Kiru Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Kikwete ametoa maelekezo hayo kwa Kamishna huyo Bw. Joseph Batinamani wakati alipofanya ziara leo tarehe 12 Februari 2023 katika kijiji cha Kiru Dick halmashauri ya wilaya ya Babati mkoa wa Manyara. Kikwete ametoa maelekezo hayo kutokana na mgogoro uliopo kati ya wakazi wa Kijiji cha Kiru Dick Valley wilayani Babati Mkoa wa Manyara na muwekezaji wa kampuni ya Hamir Estate Ltd inayojishughulisha na kilimo cha miwa ambaye ni wamiliki wa awali wa Mashamba hilo Aidha, Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliamua kumega ekari 2,390 ambazo zilikuwa zikimilikiwa kihalali na Kampuni ya Hamir Estate Ltd kwenye mwaka 1999 na kuwapa wananchi ili kumaliza mgogoro huo. “Natoa maelekezo kwa Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Manyara kulitambua eneo hili na kuliwekea mpango wa matumizi ya ardhi. Tambueni maeneo ambayo yanafaa kwa shughuli za kilimo na shughuli za wananchi natambueni maeneo ambayo tutawapanga wananchi ambao ambao hawana kabisa mashamba” Amesema Kikwete. Pamoja na maamuzi hayo Kikwete amewaonya wakazi wa eneo hilo kujiepusha na uvunjifu wa amani kwa kujihusisha na vitendo vya kihalifu ambavyo vimekuwa vikiendelea katika eneo hilo na badala yake amewataka kuonesha ushirikiano kwa muwekezaji kwa kuwa tayari ameishatoa ekari 2,390. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

RIDHIWANI KIKWETE Amwambia MZEE OLE SENDEKA - "WEWE na BABA ni MARAFIKI, Kwanini Mmekuwa WAONGO?

Ekskluzive/Flet gruaja 'e rrezikshme' pas 'non grata-s': Rama, a e ke pyetur veten nëse je shqiptar?

“Të rrethojnë Ramën”! Artan Hoxha zbulon misterin Dritan Goxhaj dhe skenarët e protestës...

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA IKUNGI-SINGIDA

NAIBU WAZIRI KWAGILWA AKIWASHA ATAKA MZABUNI ATAFUTWE

MSHTUKO! MKE AJINYONGA BAADA YA KUDAIWA KUIBA ELFU KUMI NA MUME WAKE, KAMANDA AELEZA KILA KITU..

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt

94 Year-Old Grandmother Living Alone at the Edge of the World Far From Civilization

Losing My Ear, Surviving The 2007 PEV:, Escaping Kisumu, & The Truth About Kiambaa

Incredibly tasty spaghetti ready in 10 minutes! A quick, delicious pasta dinner recipe!

NGUMI SIO CHAI! MJITU LINAPIGWA MPAKA LINASEMA! -"SIJAPIGWA SANA NI BONDIA MZURI"

DR Kongo – Usbekistan Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

Wróciłem na „Wołyń“. Podszedł Ukrainiec i wyznał, co robił Polakom podczas Rzezi Wołyńskiej

Federal judge blocks Trump's election order, former prosecutor explains what's next

Uwekezaji Manispaa ya Kibaha

Téma z europarlamentu: Tomáš Zdechovský, Nikola Bartůšek, Milan Uhrík, Milan Mazurek

Tomasz Lis na żywo - Anny Przybylskiej wojna z paparazzi

Gladys Wanga Begs Sifuna to Come Back to ODM then Apologized to Him | Boniface's Dream

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

