#LIVE: IBADA YA IJUMAA KUU | 15 - 04 - 2022
IJUMAA KUU : SIKU YA KUKUMBUKA KUFA KWA YESU SOMO: ALITESWA NA KUFA KWA AJILI YETU. MHUBIRI :DEAN REV. CHEDIEL LWIZA .................................................................................................................................... ZABURI 22: 12 - 18 12 Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga; 13 Wananifumbulia vinywa vyao, Kama simba apapuraye na kunguruma. 14 Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu. 15 Nguvu zangu zimekauka kama gae, Ulimi wangu waambatana na taya zangu; Unaniweka katika mavumbi ya mauti 16 Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu. 17 Naweza kuihesabu mifupa yangu yote; Wao wananitazama na kunikodolea macho. 18 Wanagawanya nguo zangu, Na vazi langu wanalipigia kura. WAEBRANIA 10: 1 - 7 1 Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wowote kuwakamilisha wakaribiao. 2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi? 3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. 4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi. 5 Kwa hiyo alipokuja ulimwenguni, alisema, Dhabihu na matoleo hukutaka, Lakini mwili uliniwekea tayari; 6 Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo; 7 Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika gombo la kitabu nimeandikiwa) Niyafanye mapenzi yako, Mungu. YOHANA 19: 1 -7 1 Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi. 2 Nao askari wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau. 3 Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi. 4 Kisha Pilato akatokea tena nje, akawaambia, Mtu huyu namleta nje kwenu, mpate kufahamu ya kuwa mimi sioni hatia yoyote kwake. 5 Ndipo Yesu alipotoka nje, naye amevaa lile taji la miiba, na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, Tazama, mtu huyu! 6 Basi wale wakuu wa makuhani na watumishi wao walipomwona, walipiga kelele wakisema, Msulubishe! Msulubishe! Pilato akawaambia, Mtwaeni ninyi basi, mkamsulubishe; kwa maana mimi sioni hatia kwake. 7 Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu. ..................................................................................................................................... KARIBU UMTOLEE MUNGU SADAKA YAKO KUPITIA NAMBA: ----------------------------------------------- WAKALA WA M-PESA & NAMBA YA MPESA 579 579 4 || 0757 - 391 - 174 JINA: KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL MAENDELEO BANK A/C NO 013 792 746 021 JINA: LUTHERAN CHURCH AZANIA FRONT CATHEDRAL Kwa Taharifa matukio mbalimbali tembelea katika mitandao yetu: Instagram page: / kkkt_azaniafront_cathedral Website: https://www.azaniafront.org/ Facebook: / kkkt-azania-front-cathedral-101434162039079 #azaniafrontcathedral #ibada #lunchhour

#LIVE: IBADA YA IJUMAA KUU - IBADA YA PILI | 15 - 04 - 2022

UKWELI KUHUSU SIKU KUU YA PASAKA HUU HAPA?

SIRI YA KUJIWEKA WAKFU KWENYE JAMBO || BISHOP IBRAHIM AMASI || ABC GLOBAL KAHAMA

Live ▶|| Ibada Ya Morning Glory | 05 - 02 - 2025

WORSHIP IN THE HEAVY GLORY OF THE LORD

KKKT USHARIKA WA MAKONGO:IBADA YA ASUBUHI 15/06/2026

50,000 Apparitions in 45 Years: What’s Happening in Medjugorje? (Documentary)

MAHUSIANO YAKO NA MUNGU KAMA FUNGUO AU KUFULI LA KUFANIKIWA KWAKO | EV DANIELY JOSHUAN.

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-2 #dunsinoyekan #worship #intimacy

IBADA YA MORNING -MAOMBI HUBADILISHA MAMBO-MWL FLORENCE CHARLES

See how we had our Corpus Christi Sunday in our simple Church

Live ▶|| Ibada Ya Lunch Hour | 04 - 02 - 2025

NGUVU YA MANENO

"Mjue Sana Mungu|Ibada ya Morning glory|KKKT KARIAKOO||Mwl Goodluck Mushi.

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

💖POWERFUL PRAYER TO RECEIVE AN URGENT MIRACLE – ST. ANTHONY OF PADUA🙏

Gratitude: 3 Hour Instrumental Soaking Worship | Deep Prayer & Meditation 🌿 Worship Reflections

KKKT USHARIKA WA MAKONGO:SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA UTATU 07/06/2026

MAISHA BAADA YA MAOMBI - Pastor Myamba.

