MKURUGENZI ATETEMEKA KWA UOGA "NAOMBA UNISAMEHE RAIS SITO RUDIA TENA ‘’
ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro (DED), amemuomba radhi mara tatu, Rais John Magufuli, kwa kosa la kutotatua changamoto ya mgogoro wa ardhi wilayani humo. Kufuatia malalamiko hayo, Mwambambale amemuomba radhi Rais Magufuli huku akimuahidi atajirekebisha kwani amekwisha kUtambua amejikwaa “Rais ninaomba unisamehe, mheshimiwa rais ninaomba unisamehe, mheshimiwa rais ninaomba unisamehe,” amesema Mwambambale alipopewa fursa ya kuzungumza mbele ya Rais Magufuli na umati ya wananchi. “Kuna kazi nyingine umenipa na nimefanya kwa mafanikio, kuna miradi ya maendeleo mbalimbali nimejenga. Najifunza naomba unisiamehe, naomba unipe nafasi ya pili sitokuangusha,” amesema Mwambambale kwa sauti ya unyongu Subscribes: / kidanistars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: / kidanistars Facebook: / kidanistars Twitter: / kidanistars Subscribes: / kidanistars

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

Chris Rwakasisi Moves Ruto and Kenyans to Tears as he Narrates how Museveni Jailed him for 24 Years!

Kimenuka, Magufuli Akabidhiwa Majina ya Watumishi wenze Vyeti Feki

SAA ZA MWISHO KIFO CHA MAGUFULI, JENERALI MABEYO AFUNGUKA 2024

I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

MNYUKANO MKALI; MPINA,MDEE WAMVURUGA MWIGULU BUNGENI SPIKA DKT. TULIA AINGILIA KATI

WAZIRI Dkt.GWAJIMA AKISOMA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII BUNGENI DODOMA

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

Msukuma AMLIPUA GWAJIMA BILA UOGA "UNAMPANGIA RAIS CHA KUFANYA" WAKENYA WAPEWA UJUMBE MZITO...

BAJETI KUU YA SERIKALI IKISOMWA BIDHAA ZA UREMBO BEI JUU,BETTING JUU,WAFANYABIASHA WAPYA WACHEKELEA

🔴#Live:MABINGWA WA AFYA WAFUNGUKA MUHIMBILI - UJUMBE MZITO KUHUSU MAGEUZI YA AFYA

Gachagua lands in Kisumu, MOCKS Ruto "Alikuja Kupika Samaki huku!" Crowds ERUPT

MAMBO TISA MUHIMU KWAKO ILI KUSHINDA UMASIKINI

The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School

SHEREHE YA MAHAFALI MWAKA WA 4 TEOLOJIA || KIPALAPALA SEMINARI: UTOAJI WA VYETI

'You cannot believe anything this government says': Rieckhoff slams DOJ $1.8B fund

