KAPOMBE ATOA YA MOYONI BAADA YA KUMALIZA PAREDI LA UBINGWA SIMBA COCO BEACH
Nahodha wa Simba, Shomary Kapombe, amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa kujitokeza kwa wingi leo Jumapili katika paredi ya ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, huku akisema sapoti hiyo ikiendelea, msimu ujao watafanya vizuri zaidi. Kapombe amesema kwa niaba ya kikosi kizima cha Simba, wachezaji wanathamini mapokezi makubwa waliyopewa tangu walipowasili Dar es Salaam hadi kufikia hitimisho la paredi hiyo Coco Beach. "Kwa niaba ya wachezaji, kwanza napenda kuwashukuru mashabiki na wanachama wote ambao mmejitokeza kwa wingi. Hatukutarajia kuona umati mkubwa kama huu. "Tunaomba jambo moja, kama mlivyokuwa nasi leo, msimu ujao muendelee kutusapoti kwa nguvu hizi hizi. Tukipata sapoti kama hii tunaamini tutafanya makubwa zaidi kuliko tuliyofanya msimu huu," amesema mkongwe huyo ambaye yupo klabuni hapo tangu 2017. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

SHABANI MPIRA PESA AWAPASUA YANGA NA MMILIKI WA AZAM FC, "BABU KIPARA AKITAKA AHAME TUU"

MANGUNGU ADAI YANGA WANANUFAIKA NA WAAMUZI, AKANUSHA UGONJWA KUGOMBANA NA MO DEWJI

🚨KISIKI: SIMBA YAFANYA UMAFIA YAMZIDI KETE YANGA KUMNASA WINGA TISHIO KUTOKA AFRIKA KUSINI

MANARA 'AMBANANISHA' AHMED ALLY, ISHU YA SIMBA 'KUCHIMBA DAWA' JANGWANI

#live JAYRUTTY ATOA AHADI YA KUJENGA UWANJA MSIMBA/UKWELI WOTE HUU HAPA

TAHARUKI, WATU ZAIDI YA 30 WAPANGISHWA CHUMBA KIMOJA NYAKATI TOFAUTI, MWENYE NYUMBA AKIMBIA NA PESA

MR NICE NA DUDUBAYA WATAKA KUZICHAPA MBELE YA MWANDISHI, RASMI NI AMANI AMANI MAJUNGU TUPA KULE

GB 64 APAGAWA NA PARADE LA SIMBA, BUS JIPYA LA IRIZAR

MEMKWA SCHOOL {EP33}

MUHINDI WA SIMBA AMPONGEZA SANA JAYRUTY| APAGAWA NA IRIZA YA SIMBA| TUTAENDA KUCHIMBA DAWA JANGWANI

Argentinien – Ägypten Highlights | Achtelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

#live AHMED ALLY AUNGURUMA "SIMBA SC TUMEDHULUMIWA UBINGWA WA NBC

FURAHA YA WACHEZAJI NDANI YA IRIZAR MPYA/WAISIFIA KWA UBORA WAKE

KISUGU AMJIBU ALLY KAMWE Athibitisha KUCHIMBA DAWA JANGWANI /TUMETIA GUNDU UWANJA /APAGAWA NA PAREDI

JENTRIX SHIKANGWA LEAVES SIMBA (EXCLUSIVE ONE ON ONE)

🛑FRIJI BOVU: HIKI KIFAA KIPYA KIKITUA SIMBA MAJI WATAITA MMA, BARKER AMEAMUA KUISUKA SIMBA MPYA

MTOTO WA MR.NICE AWAKUTANISHA DUDU BAYA NA BABA YAKE// TAZAMA KILICHOTOKKEA / KITAKUSHANGAZA

ALIKIBA AKUBALI MZIKI WA AZIZI KI LEO\AKIRUDI YANGA SIMBA TUMEISHA.

#live WACHEZAJI WA SIMBA WAPIGA SHOW BABU KUBWA/WAITAJA YANGA.

