KAULI YA KWANZA YA MBUNGE MWANA FA BAADA YA KUNUSURIKA KIFO KWA KUPATA AJALI MOROGORO

Watu watano akiwemo Mbunge wa Jimbo la Muheza Hamis Mwijuma wamenusurika kifo Katika Ajali usiku huu. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba Ajali hiyo imetokea eneo la Kingolwira Manispaa ya Morogoro. "Tulikua wawili mimi na Dereva wangu tulitoka Muheza tukapita Msoga Rais Mstaafu alikua amefiwa na Mtoto wa Kaka yake tukaenda mazikoni pale, tukawa tunatoka tunaelekea Dodoma hii sehemu inaitwa Kingolwira kuna malori mengi yanaelekea Dar kuna Mtu akawa ana overtake" "Alikuja upande wetu na yuko spidi sana tunamuona kabisa hivi, spidi yake ilikua kubwa kusema kweli nafikiri kati ya 140 au 160 hivi na tunamuona kabisa anakuja na hatukuwa na namna yoyote ya kumkwepa, tunashukuru tu Mungu tumetoka salama mimi nina maumivu kidogo kifuani na mkono wa kushoto lakini napata huduma hapa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kama unavyoona Mh. Mkuu wa Mkoa na Mh. Mkuu wa Wilaya wapo hapa kuhakikisha kila kitu kinakua sawa"- Mbunge wa Muheza Tanga Mh. Hamis Mwinjuma

UTAPENDA! RAIS SAMIA AMUINUA MWANA FA ACHANE MISTARI - "NAONA ULIKAUSHA"
▶︎

UTAPENDA! RAIS SAMIA AMUINUA MWANA FA ACHANE MISTARI - "NAONA ULIKAUSHA"

#TAZAMA| AJALI ILIVYOUWA WANANDOA MOROGORO, RPC MUSILIMU ATHIBITISHA
▶︎

#TAZAMA| AJALI ILIVYOUWA WANANDOA MOROGORO, RPC MUSILIMU ATHIBITISHA

NAIBU WAZIRI MWANA FA AFUNGUKA ISHU YA BONDIA KUPOTEZA MAISHA ULINGONI KWA TSH ELFU 60
▶︎

NAIBU WAZIRI MWANA FA AFUNGUKA ISHU YA BONDIA KUPOTEZA MAISHA ULINGONI KWA TSH ELFU 60

Mwana FA Nitachagua kufa mimi ila sio mke wangu
▶︎

Mwana FA Nitachagua kufa mimi ila sio mke wangu

HUWEZI KUAMINI Huyu ndiye JONIJOOO wa NOW YOU KNOW
▶︎

HUWEZI KUAMINI Huyu ndiye JONIJOOO wa NOW YOU KNOW

MWANZO MWISHO TUKIO MTOTO ALIYEMUUA BABA YAKE NA BABU, KABURI CHUMBANI, “INATISHA AMEKIRI”
▶︎

MWANZO MWISHO TUKIO MTOTO ALIYEMUUA BABA YAKE NA BABU, KABURI CHUMBANI, “INATISHA AMEKIRI”

Upelelezi waibua SITOFAHAMU | Kifo cha mwalimu MOROGORO | Gesi yatajwa
▶︎

Upelelezi waibua SITOFAHAMU | Kifo cha mwalimu MOROGORO | Gesi yatajwa

ALIYEKUWA NA MWANA FA KWENYE GARI ASIMULIA ILIVYOTOKEA “GARI NDOGO ILI -OVERTAKE”
▶︎

ALIYEKUWA NA MWANA FA KWENYE GARI ASIMULIA ILIVYOTOKEA “GARI NDOGO ILI -OVERTAKE”

RPC Muslimu afunguka kuhusu mmiliki wa gari iliyosababisha vifo Morogoro
▶︎

RPC Muslimu afunguka kuhusu mmiliki wa gari iliyosababisha vifo Morogoro

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"
▶︎

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

MKE WA MWANA FA ALIVYOSIMAMA KUMUOMBEA KURA MUMEWE MUHEZA
▶︎

MKE WA MWANA FA ALIVYOSIMAMA KUMUOMBEA KURA MUMEWE MUHEZA

Hali ilivyo eneo la Msamvu usiku huu baada ya ajali ya moto leo asubuhi
▶︎

Hali ilivyo eneo la Msamvu usiku huu baada ya ajali ya moto leo asubuhi

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

#TAZAMA| ALICHOKISEMA DC SHAKA BAADA YA KUAPISHWA MOROGORO
▶︎

#TAZAMA| ALICHOKISEMA DC SHAKA BAADA YA KUAPISHWA MOROGORO

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

WATOTO 820 WAPATA UJAUZITO MOROGORO "WAPO WANAFUNZI PIA,  WAZAZI WANAJISAHAU SANA"
▶︎

WATOTO 820 WAPATA UJAUZITO MOROGORO "WAPO WANAFUNZI PIA, WAZAZI WANAJISAHAU SANA"

KUMENUKA! SERIKALI YAFUTA MIKUTANO YOTE YA VYAMA VYA SIASA, MAANDAMANO YA JULAI 7 KIZUNGUMKUTI!
▶︎

KUMENUKA! SERIKALI YAFUTA MIKUTANO YOTE YA VYAMA VYA SIASA, MAANDAMANO YA JULAI 7 KIZUNGUMKUTI!

🔴LIVE_Naibu Waziri MWANA FA & MANGUNGU Walivyotinga Ukaguzi Uwanja Wa MKAPA | Mtaalamu Afunguka
▶︎

🔴LIVE_Naibu Waziri MWANA FA & MANGUNGU Walivyotinga Ukaguzi Uwanja Wa MKAPA | Mtaalamu Afunguka

TAMKO LA RPC  MOROGORO KUHUSU AJALI YA KABUDI
▶︎

TAMKO LA RPC MOROGORO KUHUSU AJALI YA KABUDI

#TBCLIVE:  RAIS DKT. MAGUFULI AKIZINDUA SOKO KUU MOROGORO
▶︎

#TBCLIVE: RAIS DKT. MAGUFULI AKIZINDUA SOKO KUU MOROGORO