Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Fatma Abeid Amani Karume ni mtoto wa kwanza wa rais wa sita wa Zanzibar na pia ni mjukuu wa rais wa kwanza wa Zanzibar na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 na pia ni mwanasheria hodari, na siku za hivi karibuni amekua mstari wa mbeeele kupaza sauti kwenye masuala ya kisiasa hapa nyumbani Tanzania na ni kitu ambacho kimempa umaarufu mwingi kwa wananchi na kupachikwa jina la Shangazi, yeye ndo SHANGAZI wa Taifa. Kuzungumza naye imekua kama mtihani kiasi maana yeye ni wakili na sote tunafahamu jinsi ambavyo mawakili wanavyojua kuongea kwahiyo ilibidi nitulize nywele kweli kweli ili tuweze kwenda sawa, mwanzo ulikua mgumu lakini tuliweza kutuwamisha maji baada ya muda kiasi na natumai utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza. Pia ilikua emotional kwa kiasi flani maana habari ya ofisi yake kupigwa bomu mwaka 2017 na kupigwa risasi kwa aliyekua rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu siku kumi tu baada ya tukio la ofisi kutokea Dar es Salaam lilimfanya awe emotional. Na kama utakua unakumbuka vizuri Shangazi ndo aliyefuata kuwa rais wa TLS baada ya hapo. Zaidi mi nilitaka kufahamu haswa nia na madhumuni ya kupambana kwake na kutonyamaza kwake kwenye masuala yote ya uongozi na serikali. Na kama pengine na yeye ana ndoto za siku moja kuwa kiongozi, au pengine leo simu ikiita akapewa cheo, je atakichukua? Na nini anataka, nini angependa kibadilike? Huwa anapokea simu toka nyumbani na kuambiwa pengine apunguze kelele kidogo? Au yuko huru tu kuongea? Na mambo ya familia? Na je kuhusu Babu yake na enzi za ASP? Anazikumbuka hizo enzi? Na kuhusu shule je? Alisoma wapi? Alikua smart alipokua mtoto? Anamkumbuka Babu yake? Lini mara ya kwanza alijua kama yeye ni “special”? Na kuhusu mapenzi je? Mara yake ya kwanza kumpenda mtu? Alikua nani? Alikutana na mumewe akiwa na miaka mpingapi? Na kwao je wako wa ngapi? Na yeye ni wa ngapi? Shule ipi alienda? Kuna suala la yeye kuzuiliwa kufanya kazi pia, licence yake imezuiliwa hapa, pia nilitaka kujua sasa anashije? Na kama ana watoto? Yeye ni mama wa aina gani? Akiacha kuwa Twitter huwa anafanya nini? Kuna mambo anayopenda kuyafanya ambayo sisi hatuyajui? Na kama kuna uwezekano wa yeye kujikita kwenye siasa? Maongezi yalikua marefu na machachari rafiki, na matumaini yangu utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza juu yake… Tafadhali enjoy. Love, Salama. Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam... Follow: Twitter: / yahstonetown Instagram: / yahstonetown Facebook: / yahstonetown

Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 2

ALIKIBA ATEMA NYONGO, HARMONIZE KUWACHUKUA WASANII WAKE AMPA MAKAVU LIVE

The Curfew In Lamu & Police Harassment - Sharif Athman Ali, Former MP for Lamu East.

NILIBADILI DINI KWA AJILI YAKE ILI NIMUOE, AKANIIBIA PESA ZANGU ZOTE AKAKIMBIA NA RAFIKI YANGU

JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI

DULLA MAKABILA AFICHUA USICHOKIJUA KUHUSU MANARA NA KOBISI KIKARA, YEYE NA MADEMU DAM DAM

Fatma: Baba Alikuwa Rais Mimi Nina Kazi Yangu I Sikuwahi Kumsaidia Kwenye Kampeni

MAGUFULI TELLS UHURU KENYATTA ON PHONE 'WAZIRI WAKO MONICA NI MREMBO KWELI'

Salama Na CHARLES HILLARY Ep 38 | MZEE WA BUSARA Part 1

EXCLUSIVE: JUX ASIMULIA YOTE BAADA YA KUFUNGA NDOA, ATOA JIBU LA NDOA YA KIKRISTO NIGERIA - PART ONE

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 10.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

Salama Na Khadija Kopa Ep 9 | GIVEN TO THE ONE Part 1

Part1 SARAH Mwanamke Wa Kwanza KUIBA Mamilioni BENKI TANZANIA na Kutoroka NJE Asimulia PICHA Zima

Mawaidha na Bi Msafwari |Mbona ndoa za siku hizi hazidumu?

Spirituality Vs Witchcraft & Science || Dr. Mwaka

Mazungumzo na Fatma Karume, Uwajibikaji Katika Siasa | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo

BURNT PRIDE - MAURICE SAM, REGINA DANIELS, OCHANYA, MAUREEN IHUA latest 2026 nigerian movie

MR BLUE AFUNGUKA HARMONIZE NA DIAMOND KURUDIA NYIMBO ZAKE// KUWA MSANII MWENYE KORABO NYINGI ZAIDI

MAIMATHA KAWAPIGIA SIMU AALIYAH, MCHAGA NA DIVA WAANIKA SIRI NZITO

