VICHOCHEZII VYA UPUUZI NA ATHARI ZAKE KUNAKO SWAUMU || SH ABDURASHID ATHUMAN

Katika khutba hii, Sh Abdurashid Athuman anaelezea kwa kina vichochezi vya upuuzi vinavyoenea katika mitandao ya kijamii na namna vinavyoathiri ibada ya swaumu. Anatahadharisha kuhusu maudhui yasiyo na maadili yanayotengenezwa kwa ajili ya kutafuta umaarufu na “views”, huku yakipoteza muda na kupunguza thamani ya Ramadhani. Khutba hii ni wito wa kujilinda na upuuzi wa mitandaoni, kuchagua maudhui yenye manufaa, na kuitunza swaumu kwa matendo mema na nidhamu ya kiroho.