Simulizi: Shujaa Fumo Liyongo ajinasua gerezani

Baada ya Shujaa Fumo Liyongo kukamatwa na kutiwa gerezani kwa madai ya kutaka kuipindua serikali ya Mfalme Mringwari, Liyongo atumia ubunifu kujinasua.. Mringwari amkabidhi Liyongo chaguo kabla hajauawa.Liyongo aomba aandaliwe ngoma ya Ngung na Mwao..atumia ubunifu kupasha ujumbe kwa Sada kisha ambao unamsaidia kujinasua