Dadaz na Kitaa | MAAJABU YA MAMA MUUZA PWEZA GONGO LA MBOTO | SWALI LA KIZUSHI || TUKIO LA KITAA

#DadaznaKitaa #SEASON2 #EPISODE1 Mtaa wa Banana Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam Dadaz na Kitaa inapiga stori na Mama anayefanya biashara ya kuuza samaki aina ya Pweza, kitu ambacho siyo cha kawaida kumkuta Mwanamama kufanya biashara hiyo iliyojaa tafsiri ya kufanywa na wanaume kuliko wanawake.