Jinsi ya Kupika Tembele la Dagaa na Pilipili ya Embe Mbichi

Karibuni tena jikoni langu! Leo nawafundisha jinsi ya kupika Tembele la Dagaa na Pilipili ya embe mbichi Tamu na yenye ladha nzuri kwa kutumia njia rahisii Kabisa. MAHITAJI *Matembele *Dagaa *Mafuta vijiko vitano 5 *Nyanya maji 3 kubwa *Nyanya chungu3 *Karoti Moja kubwa *Vitunguu maji viwili *Embe mbichi2 *Pilipili 5 *Chumvi Robo kijiko ************* Mimi ni Ruqaiyah Yassin (Mapishi na Rucky) ni Mpishi na Mtengenezaji wa maudhui haya. Video zote unazoziona hapa zimeandaliwa, zikarekodiwa, na kuhaririwa na Mimi mwenyewe katika jiko langu hapa Dar es salaam Tanzania. Lengo langu ni kushiriki mapishi asilia ya Kitanzania na mbinu rahisi za jikoni. ************* Maudhui haya ni mali ya MAPISHI NA RUCKY Hairuhusiwi kupakua na kurusha tena video hii kwenye channel nyingine bila ruhusa. Nifollow Kwenye Akaunti Yangu ya TikTok 👇 https://www.tiktok.com/@ruckymontana1...