ULEGA ATANGAZA NEEMA KWA WAKANDARASI WAZAWA

Kupewa miradi yote yenye thamani ya mpaka sh bilioni 50 Ni maelekezo ya Rais Samia Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuanzia sasa miradi yote ya ujenzi ambayo thamani yake haizidi shilingi bilioni 50 kipaumbele kitakuwa ni wakandarasi wazawa. Akizungumza katika mkutano na wakandarasi wazawa uliofanyika Dodoma leo, Ulega alisema uamuzi huo unatokana na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaka wakandarasi wazawa wapewe miradi mingi ya ujenzi ili wakue na kukuza uwezo wa kufanya miradi mikubwa zaidi. Katika kuonyesha dhamira ya dhati ya serikali katika kutimiza azma hiyo, Ulega amesema Serikali imeingia mikataba ya takriban shilingi bilioni 554.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya dharua iliyoathriwa na mvua za El- Nino na Kimbunga Hidaya ambapo kati ya mikataba hiyo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 412 sawa na asilimia 74 inatekelezwa na wakandarasi wazawa.

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA WAKATI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI)
▶︎

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA WAKATI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI)

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA
▶︎

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA

TANESCO CEO's DAUGHTER SPOKE WITH PAIN ABOUT THEIR LATE FATHER'S LIFE
▶︎

TANESCO CEO's DAUGHTER SPOKE WITH PAIN ABOUT THEIR LATE FATHER'S LIFE

WAZIRI ULEGA AWATAKA WAKANDARASI DODOMA RING ROAD KUONGEZA KASI
▶︎

WAZIRI ULEGA AWATAKA WAKANDARASI DODOMA RING ROAD KUONGEZA KASI

WAZIRI ULEGA AKERWA NA MKANDARASI  WA  BARABARA YA UYOLE-IFISI.
▶︎

WAZIRI ULEGA AKERWA NA MKANDARASI WA BARABARA YA UYOLE-IFISI.

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

Halima Mdee Acharuka Wakandarasi wa Kigeni Kunufaika Zaidi Wakandarasi Wazawa Miradi ya Ujenzi
▶︎

Halima Mdee Acharuka Wakandarasi wa Kigeni Kunufaika Zaidi Wakandarasi Wazawa Miradi ya Ujenzi

Ethiopia is About to Explode.
▶︎

Ethiopia is About to Explode.

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI
▶︎

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA
▶︎

SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA

ULEGA AANIKA VIPAUMBELE 10 WIZARA YA UJENZI, BARABARA II VIVUKO II MAJENGO YA SERIKALI n.k
▶︎

ULEGA AANIKA VIPAUMBELE 10 WIZARA YA UJENZI, BARABARA II VIVUKO II MAJENGO YA SERIKALI n.k

ULEGA ATANGAZA MSHINDI ‘FOLENI CHALLENGE”
▶︎

ULEGA ATANGAZA MSHINDI ‘FOLENI CHALLENGE”

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027
▶︎

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.
▶︎

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

NCC YAFUNZA MBINU BORA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UJENZI
▶︎

NCC YAFUNZA MBINU BORA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UJENZI

No One Will Ever Find This Hidden Underground Fortress! | Start to Finish
▶︎

No One Will Ever Find This Hidden Underground Fortress! | Start to Finish