Spika Ndugai ataka mchakato wa ajira za SERIKALI kuwa wazi watakiwa kufuatilia

Dodoma.Spika wa bunge Job Ndugai amewaagiza na hasa Kamati zinazohusika kufuatilia mchakato wa ajira zinazotolewa Serikalini. Spika Ndugai amesema haiwezekani na wala si busara kusikia ajira zinatoka lakini hakuna mbunge anayefuatilia kujua wapiga kura wake wangapi wamepata ajira hizo. Ametoa agizo hilo wakati wa kipindi cha matangazo akisema ni ajira zinazotolewa na Serikali lazima zibebe sura ya Kitaifa. Ndugai amesema ni Kazi ya bunge kujua kila hatua ya kinachoendelea katika ajira kuanzia sasa akisema ya nyuma yamepita lakini siyo kuacha tena.

FURAHA YA WAAJIRIWA WAPYA BAADA YA KUPANGIWA VITUO VYA KAZI
▶︎

FURAHA YA WAAJIRIWA WAPYA BAADA YA KUPANGIWA VITUO VYA KAZI

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
▶︎

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

SIFUNA ALMOST BEATEN BY SENATOR edama Olekina
▶︎

SIFUNA ALMOST BEATEN BY SENATOR edama Olekina

BREAKING: Gachagua's dangerous plan shakes Ruto
▶︎

BREAKING: Gachagua's dangerous plan shakes Ruto

WASAILIWA WAELEZA WALIVYOPATA KAZI KUPITIA SEKRETARIETI YA AJIRA
▶︎

WASAILIWA WAELEZA WALIVYOPATA KAZI KUPITIA SEKRETARIETI YA AJIRA

AJIRA za KUPEANA ZAMCHEFUA RAIS SAMIA - ''MUSITURUDISHE NYUMA, UTAZUNGUSHWA, MPAKA LINI?''...
▶︎

AJIRA za KUPEANA ZAMCHEFUA RAIS SAMIA - ''MUSITURUDISHE NYUMA, UTAZUNGUSHWA, MPAKA LINI?''...

Trump Gets Booed & Falls Asleep During NBA Finals, Claims War is Almost Over & Goodbye Spencer Pratt
▶︎

Trump Gets Booed & Falls Asleep During NBA Finals, Claims War is Almost Over & Goodbye Spencer Pratt

Alichokisema Waziri wa Elimu kuhusu ajira kwa wahitimu nchini
▶︎

Alichokisema Waziri wa Elimu kuhusu ajira kwa wahitimu nchini

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA AROBAINI NA TANO
▶︎

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA AROBAINI NA TANO

VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA
▶︎

VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM
▶︎

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

Rais Magufuli asisitiza kipaumbele cha ajira jeshi la polisi ni kwa wanaopitia JKT
▶︎

Rais Magufuli asisitiza kipaumbele cha ajira jeshi la polisi ni kwa wanaopitia JKT

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI
▶︎

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI

#live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA 48 JUNI 5, 2026
▶︎

#live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA 48 JUNI 5, 2026

BANDARI NA TRA HAWASOMANI, HII NI MAKUSUDI ILI WATU WACHOMOE PESA" RAIS SAMIA
▶︎

BANDARI NA TRA HAWASOMANI, HII NI MAKUSUDI ILI WATU WACHOMOE PESA" RAIS SAMIA

RAIS SAMIA AELEZA SABABU YA KUMUONDOA BOSS WA TRA "NILIONA ATA DATA"
▶︎

RAIS SAMIA AELEZA SABABU YA KUMUONDOA BOSS WA TRA "NILIONA ATA DATA"

KUJITOLEA SIO KIGEZO CHA KUPATA AJIRA
▶︎

KUJITOLEA SIO KIGEZO CHA KUPATA AJIRA

RAIS MAGUFULI ATAFUTA SAMAKI WAKE FERI "WAAMBIE SAMAKI WANGU ASIJE POTEA"
▶︎

RAIS MAGUFULI ATAFUTA SAMAKI WAKE FERI "WAAMBIE SAMAKI WANGU ASIJE POTEA"

AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU BAADA YA KUMWAMBIA KUWA ANAM SUPPORT YOUTUBE
▶︎

AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU BAADA YA KUMWAMBIA KUWA ANAM SUPPORT YOUTUBE

Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below
▶︎

Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below