'Hidaya' chasababisha uharibifu njia ya Somanga – Mtama, TANROADS mbioni kurejesha mawasiliano
Athari za kimbunga Hidaya kimezikumba baadhi ya barabara mkoa Lindi na kusababisha uharibifu mkubwa ikiwemo kukatika kwa barabara. Kwa mujibu wa meneja wa TANROADS mkoa wa Lindi, Mhandishi Emil Zengo kimbunga Hidaya kimechangia kusukuma maji kwa wingi na maji yaho yamefanya uharibifu kwenye barabara ya Somanga – Mtama na kukata tuta la barabara hiyo eneo la Mikereng'ende umbali wa Kilomita 10 kutokea Somanga uelekeo wa Lindi. Tazama hali halisi ilivyokuwa asubuhi ya leo Mei 5, 2024.

▶︎
Talk Africa: East Africa floods

▶︎
How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire

▶︎
LINDI-DAR HAKUENDEKI|SOMANGA HAPAPITIKI

▶︎
UCHAFU WAPUNGUZA HADHI YA FUKWE ZA BUKOBA

▶︎
Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao recipe | Roasted Chicken

▶︎
UMAHIRI WA JWTZ, Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

▶︎
Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

▶︎
WANANCHI NANJA WALIA na BWAWA la MAJI KUPASUA KINGO - WAZIRI AWESO AFIKA na KUTOA MAAGIZO HAYA....

▶︎
MAKALA YA KILIMO CHA MWANI NA UVUVI SAADANI

▶︎
Dalili za kimbunga ukiwa baharini, mvuvi asimulia yaliyomkuta

▶︎
Mvua yakata mawasiliano Dar es Salaam na mikoa ya kusini

▶︎
Breaking: Biggest Blow to Ruto as He Is Rejected at Church!

▶︎
WEEKEND NEWS BULLETIN - AZAM TV - 06/27/2026

▶︎
“Pakistani Dump Truck – Roadside Breakdown After Brake Failure”

▶︎
WAFANYA BIASHARA WALIOINGIZA BIDHAA MBOVU ZANZIBAR WATIWA MBARONI

▶︎
Inside China's Most Dangerous Cliff Village

▶︎
Building an Amazing Underground Den Deep in the Wild | Full Process

▶︎
