Xouh - Rafiki (Official lyrics Audio)

Official music Audio for #Rafiki by #xouh Follow Xouh Instagram: https://www.instagram.com/xouh__?igsh... TikTok: https://www.tiktok.com/@xouh__?lang=en Facebook: https://www.facebook.com/profile.php?... X/Twitter: https://x.com/xouh__?s=21 Listen to Xouh Audiomack: https://audiomack.com/xouh YouTube:    • Xouh - Rafiki (Official lyrics Audio)   BoomPlay: https://www.boomplay.com/albums/77628... Spotify: https://open.spotify.com/artist/5zxTs... Apple Music:   / xouh   Xouh - Rafiki lyrics Skia sound Jaydrama on the beat Nina Rafiki yangu kipenzi Ni ndugu yangu japo sio wa tumbo moja Tushasaidiana tena zaidi ya mara moja tunapendana kishenzi Ananijua nami namjua Hawezi niacha mpweke hata inyeshe mvua Hapendi niteseke hata niumwe mafua, shida zake shida zangu Mwanangu sio snitch Mwanangu alivyo mbishi Hata nifanye kosa atasema sio mimi Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida Mwanangu ni msela hana baya Kumtangaza sioni haya Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi Mwanangu ni msela hana baya Kumtangaza sioni haya Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi Tuna ndugu wasiopenda tufanikiwe Tuna ndugu wanaotaka tuaribikiwe Tuna ndugu tusipowasalimia hawatusalimii Tunasaidiwa na watu wasiotujua Marafiki zetu wamekua kama ndugu Ndugu zetu wanasubiri waje msibani kulia. (aiyeeeeh) Ila Mwanangu sio snitch Mwanangu alivyo mbishi Hata nifanye kosa atasema sio mimi Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida Mwanangu ni msela hana baya Kumtangaza sioni haya Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi Mwanangu ni msela hana baya Kumtangaza sioni haya Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi #xouh #Rafiki